AJ vs Tyson Fury, Mazungumzo Kuanza Upya

Mazungumzo zaidi yanahitajika kukamilisha pambano la Anthony Joshua (AJ) na Tyson Fury.

Pambano kati ya Anthony Joshua na Tyson Fury ni moja kati ya mapambano yanayosubiriwa zaidi katika ndondi tangia michezo iliposimama.

Lakini taarifa juu ya pambano hili linasema kuwa AJ na Tyson wanapaswa kukubaliana mambo mengi zaidi ili kukamilisha pambano lao, hivyo mazungumzo juu ya pambano hili yanatarajiwa kuanza upya.

Kimsingi, AJ wamekubali dili la kupambana mapambano mawili mwaka 2021, wakati huo promota wa Fury amesema kuwa mambo kadhaa yatawekwa wazo pale yatakapothibitishwa.

Kumekuwa na sintofahamu juu ya makubaliano yaliyofanyika awali huku kukionekana kuna vitu haviko sawa katika makubaliano ya awali.

Promota Warren amesisitiza kuwa mazungumzo zaidi yanahitajika katika kumalizia makubaliano ya juu ya mapambano ya mabondia hawa.

 AJ vs Tyson Fury, Mazungumzo Kuanza Upya
Anthony Joshua vs Tyson Fury

“Hakuna makubaliano. Kilichokubaliwa ni kugawana 50/50. Kuna mambo mengi yanahitaji makubaliano. Namna pekee ya kufanya makubaliano ni kuwaweka wote pamoja na kwenye meza ya mazungumzo na kukubaliana.” -Promota Warren

56 Komentara

    Inabid wakar chini waamue ni lipi lifanyike

    Jibu

    Wakubaliane ili mambo yaende vizur

    Jibu

    Wamalize makubaliano watupe raha

    Jibu

    Tunasubiri kwa hamu ilo pambano, maana enzi zile Tyson aliwaka sana sasa sijajua lile neno kwamba ng’ombe azeeki maini itathibitika au la!

    Jibu

    Wakubaliane Mambo yaendeleee.

    Jibu

    wakubaliane tu sie tupate raha#Meridianbettz

    Jibu

    Wakubaliane ili Mambo yakae sawa

    Jibu

    Wakubaliane upangwe tena mpambano mzizi wa fitina huwishe mambo yaendelee

    Jibu

    Cha msingi wamalize tu watu tulikuwa tunalisubilia hilo bambano htr

    Jibu

    Nasubiria kumuona Tyson akitwaa ubingwa

    Jibu

    Chamusingi wakubaliane Mambo yaendele Kama kawaida

    Jibu

    Ni jambo zuri sana wakikubaliana na kila kitu kitakua vizuri

    Jibu

    Inabidi wakubaliane ili kila kitu kiwe sawa mashabiki tunasubili tupate raha

    Jibu

    Tunataka ngumi hatutaki maneno maneno

    Jibu

    Wakubaliane tuu sisi tupate raha

    Jibu

    wakae chini wazungumze wapate muafaka

    Jibu

    Sina cha kungoja zaidi ya ushindi kwa mmoja wapo

    Jibu

    Wamalizane tu mambo yaende

    Jibu

    Wakielewana mambo yatakuwa mazuri kati yao.

    Jibu

    Watu tunasubiri kwa hamu tuone ngumi jiwe na nani atakuwa mbabe kwa mwenzake

    Jibu

    Wakunaliane hili mambo yaende vizuri#meridianbettz

    Jibu

    Wakubaliane Mambo ya sawa

    Jibu

    Wakubaliane ili mambo yaende sawa

    Jibu

    Vizur

    Jibu

    Fury akithubutu kukanyaga kwenye Ring anadondoka round ya 5 tu

    Jibu

    Tyson Fury anaweza kushinda mpambano huo. Nilidhani Tyson atarudiana na Wielder kabla ya kufikiria kuwa na Bondia Mwingine yeyote#meridianbettz

    Jibu

    Si tunataka kazi tu

    Jibu

    Maneno yasiwe mengi wakubaliane mchezo uendelee#meridianbett

    Jibu

    Ingekuwa jambo nzuri kama promote angekaa nao wakaweka makubaliano mazuri na kuandaa pambano .mashabiki tunatamani kuwaona miamba hao mana kila mtu anauwezo wake hivyo tunasubiri majibu kamili tuone gumu ya Tyson inauzito wa kumuangusha Joshua au atapigwa yeye .# meridianbettz

    Jibu

    mambo ya masumbwi ayo

    Jibu

    Inabid promota Warren akae nao vzur kuongea nao ili tunapate jibu sahihi maana mashabiki tunataman kuona gemu kal kutoka kwa wababe hao maana kwa upande wa Joshua tunamfahamu uwezo wake na jinsi alivyokuwa mkal kwenye kukwepa na kurusha ngumi na uwezo wa Tyson fury uwezo wake tunaujua na ngumi zake nzito hvyo hii gemu itakuwa hatar sana
    #meridianbettz

    Jibu

    Tunasubiri kwa hamu ilo pambano mashabiki tupo na tunalisubiri

    Jibu

    Pambano subiriwa,tunataka tujue mbabe nani

    Jibu

    Tunasubiria kwa hamu pambano hilo tumuone nani mshindi

    Jibu

    Tunasubili Pambano

    Jibu

    Team Joshua..naliaubili kwa hamu Sana Hilo pambano#meridianbettz

    Jibu

    Anthony Joshua ni mkali sana kwa ngumi zakulipwa na anarekodi zuri sana ila asimdharau fury maana tulishawai kushuhudia mpambano kati ya fury na Wilder ambao Wilder alichakazwa na fury kwa kishindo kikubwa sana mpka kocha wake kutupa taulo na kuwaachilia kuwa wamekili kuwa fury ndio mshindi nakuondoga na hela mchizi,ila kwangu mimi ni team joshua

    Jibu

    Tunasubili hayo mazungumzo

    Jibu

    Mambo ya ngumi haya acha tuone itakuaje nani atakua bingwa wa mchezo huu wa ngumi

    Jibu

    Ni bonge la pambano fury anamshinda vizuri tu

    Jibu

    Tunasubir matokeo

    Jibu

    Tunasubir kwa ham

    Jibu

    Waelewane tu wapige kaz

    Jibu

    Tunasubili kwa hamu ilo pambano linanza lini

    Jibu

    AJ analazimisha kupigwa

    Jibu

    Tunalisubiri kwahamu tuone mtu akipigwa za uso

    Jibu

    Waweke mambo sawa

    Jibu

    Maoni:Tunasubiri tuone huo mtanange utakuaje wayapange watu waburudike

    Jibu

    Tyson furry mm ndio bingwa wangu wa masumbi

    Jibu

    Watoto wa baba mmoja ,watapigana kwa sababu ya kutafuta pesa na kujiwekea record kwenye masumbwi

    Jibu

    Tunasubiri tuone

    Jibu

    Habar njema

    Jibu

    Tunalisubir San ilipambano Kwa hamu

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.