Free kick ya Cristiano Ronaldo dakika 61, imemfanya kuwa mchezaji wa kwanza Serie A kufunga magoli 25 kwa klabu kwa msimu tangu 1961.
Ushindi dhidi ya Torino ulikuwa muhimu kwa mkongwe Gianluigi Buffon kuvunja rekodi ya kucheza mechi 648 za Serie A.
Paulo Dybala alianza kuitanguliza Juve kabla ya Ronaldo kusaidia goli la Juan Cuadrado.
Andrea Belotti alifunga goli moja kabla ya Ronaldo kuweka kambani goli huku goli la mwisho Torino walijifunga..
Ronaldo amefunga freekick 46 ngazi ya klabu, ikiwa 32 akiwa Real Madrid na 13 akiwa Manchester United.

Amekuwa mchezaji wa kwanza wa Juve kufunga magoli 25 kwa msimu wa Serie A tangu Omar Sivori mwaka 1960-61.
Rekodi ya Buffon kwa mechi 648th za Ligi Kuu ya Italia amevunja rekodi ya zamani ya Paolo Maldini.

Buffon, 42, amekuwa akicheza kwa nadra sana katika Serie A wakati huu kwani alitakiwa kusubiri tangu mwezi Disemba kuvunja rekodi hiyo.


Aziza mushi
Huyo ni zaidi ya Messi namkubali Sana winga.
isha
Ronaldo yuko vizuri siku zote na ndio maana mashabiki tunampenda sana maana kufunga goli 25 sio kazi ndogo
Ester jackson
Safii sana Christian Ronald uko juu kama jemedari mkuu wa Tanzania
Khadija
Ronaldo yupo vzr sana#meridianbettz
Zeiyana
Ronaldo yupo vizuri sana
Mariam mtandama
Ronaldo yupo vizur
Genia Sikaluzwe
Ronald kiukweli anajuwa Sana mpira zaidi ya messi
Dorophina
Ronaldo talent player
Angelina
Ronaldo yuko vizuri sana
Caroline
Ronaldo the best…
felister
Ronaldo kabali yao
Rehema
Ronaldo namkubali
Mwanahamisi
Ronaldo jembe
Lydia Emmanuel Magoti
Ronaldo jembe anajuwa kucheza nakili zawatu huyo
Shafii
Unbelievable kwa hawa wachezaji mambo wanayo yafanya na umri wao katika soka la miguu ni vitu vya kushangaza Sana wanastahili Sana pongezi.
Sadick
Mnyama Ronaldo ktk umri wa miaka 35 lakini bado moto wake si wa kitoto#meridianbettz
Hamidu
Cr7 mnyama sikuzote anapambana
Bigup kwake#meridianbettz
Franky
Buffon katisha
Fatuma kasomo
Cr7 namkubali sana yupo vizuri
Ernest
Pongezi kwa Buffon na CR7 Mnyamaaaaaaaaaa!!!
Revina
Ronaldo ana umri wa kustaafu soka lakini huwezi kujua kwa jinsi alivyo na anavyojituma kwa kiwango kikubwa ,anafanya vitu ambavyo anatakiwa afanya mchezaji anaechipukia lakini utafikiri yeye ndo anachipukia
Njiku
Ipo poa sanaa hii
Sabrina
Maoni:Cr7 mtu mbaya
Edgar
namkubali sana ronaldo anasifa zote
Magdalena
Pongezi nyingi kwa Ronaldo pamoja na kuwa mchezaji mzuri lakini bado hajanishawishi nimkubali kama nimkubalivyo Messi
Issa
Cr7 ni habari ingine
Frank Patrick
Man of records CR7
Devotha
Wanastahili kupongezwa sana
Povel
Duh hongera kwao Cr7 na BABU Buffon mikono 💯💯💯💯
Amiri Kayera
Cr7 record kwake kawaid
Furahav
Huyo ndo CR7 mtu mbaya.
Saupha mohamed
Hongera sana
Omary lukumbi
Hongera mnyama cr7 huyu jamaa ana tisha ana zeeka na uwezo wake bado uko juu sana Juventus atakua bingwa msimu huu
Theckla
Cr7 ni hatari bado yuko vizuri sana
Neema juma
Safiii sana Ronaldo
David Pere
Huyu CR7 Sasa analeta sifa maana kila alipopita anaacha kumbkumbu,Hispan kaacha record nzuri na haitavunjwa kirahisi Haya nako Italy kavunja record ya watu na kuweka yake yanii ni hatariiii sanaaa
mwakalosi
huyu mtu yeye kila anapogusa ni rekodi tu mzee fargie alifanya kazi kubwa sana
Theonestina
Ronaldo hajawai kupoteza ubora wake.namkubali Sana
Evaluziga
Huyo Ni zaidi ya mess Ni wings mzuri sana
warda
Ronaldo Hajawahi Iacha timu Salama#Meridianbettz
Tatu
Ronaldo anajua mpira namkubali sana
Salma
CR7 bado yupo vizur japo umri unamtupa mkono
Hope mwaikuka
Jamaa hatari sana
Mwajuma
Cr 7 babalao hana mpinzani
Flomena
Cr7 yuko.vizur sana
Gabriel
Habar njema sana 👍 kwa CR 7
Samiah
CR7 jembe