Vilabu vya Uingereza Kumwania Bailey

Liverpool ni kati ya vilabu kadhaa vya Uingereza ambavyo vitakuwa na skauti ambao watahudhuria fainali ya kombe la Ujerumani, inaripotiwa kwamba Leon Bailey atakuwa mmoja wa wachezaji kwenye rada yao.

Mshambuliaji huyo wa kimataifa wa Jamaica, anafahamika kuwa anatamani kucheza Premier league, na skauti kutoka Manchester City, Manchester United na Everton pia wanatarajiwa kuwepo kuitazama Leverkusen ikicheza dhidi ya Bayern Munich kwenye dimba la Olympiastadion huko Berlin.

Mchezaji huyo wa miaka 22, ambaye inasemekana atapatikana kwa kati ya Pauni 20million hadi Pauni 30m, amehusika katika mabao nane msimu huu.

43 Komentara

    Mr Klopp leta huyu mtu pale Anfield

    Jibu

    Asante kwa kutujuza #meridianbettz

    Jibu

    Habar njema kwake Kama dili hlo litafanikiwah thnks meridian bet kwa update

    Jibu

    Asante meridianbet kwa taarifa

    Jibu

    Hii ni zur zaid baily kuja kucheza epl msimu ujao club yoyote ile kati ya hz

    Jibu

    Aje man u tunamuhakikishia namb

    Jibu

    Kwa kloop atamchukua tu sababu anajua kukuza vipaji na kuwaimarisha kisoka

    Jibu

    Yupo vzr

    Jibu

    Kifaa hiki ni noma liverpool hamwachi ,Asante Meridian nawakubali sana

    Jibu

    Nice news thanks #meridianibet

    Jibu

    Man u mchukueni kijana huyo.

    Jibu

    Safi sana Asante kwa makala

    Jibu

    Yuko vizuri Sana

    Jibu

    Yupo vizuri

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Yuko vzr sana

    Jibu

    Kama timu inaoogania saini ya mchezaji ,ujue huyo mchezaji ni Bora kwa Sasa .Ni lazima watoe mpunga mkubwa sanaa

    Jibu

    Yuko vzr sanaaa

    Jibu

    anamfwata mwanae samatta ndani ya English league

    Jibu

    Ni vizur kijana akienda kwenye ligi pendwa ya EPL

    Jibu

    Na Dogo anajua Kinyama

    Jibu

    Hii ni njema kwa man U

    Jibu

    Anajua

    Jibu

    Fanya mpango wa kwenda anfield ndo pazuri

    Jibu

    Yuko vizuri sana

    Jibu

    Aje man u dogo yuko vizuri

    Jibu

    Nyota yake inawaka kijana Leon bailey bora haende Manchester united

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    ahsante kwa taarifa

    Jibu

    Anajielewa

    Jibu

    Anafanya vizuri sana ndo maana wanamtaka .

    Jibu

    Man u mchukueni jeshi ilo

    Jibu

    Tumuachie mwenyewe ,#meridianbett

    Jibu

    Dogo yuko vzur

    Jibu

    Muda wa Bailey Sasa kuwika

    Jibu

    Inaonyesha Huyu dogo anajua ndomana timu kubwa zinamgombania

    Jibu

    Dogo matata sanaa

    Jibu

    Dogo anajua sana

    Jibu

    Aje Liverpool jmn

    Jibu

    Jamaa yuko vizuri san

    Jibu

    Kama wakilizika n kiwango chake wamchukue

    Jibu

    Nice update 👍

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.