Inter Kumuongeza Mshahara Lautaro Martinez

Inter Milan wameripotiwa kuwa wapo katika maandalizi ya kukamilisha dili mpya la €5m kwa Lautaro Martinez.

Nyota huyu mwenye miaka 22 alikuwa akihusishwa zaidi na kuhamia Barcelona katika msimu huu wa joto. Lakini kwa mujibu kwa Gazetta dello Sport, wanafanya maandalizi ya kukamilisha mazungumzo ya ofa ya mkataba mpya.

Kwa mujibu wa chapisho hilo, nyota huyu anatarajia kupata dili la €5m ambalo litamuongezea mshahara wake mara mbili zaidi ya mshahara wake wa sasa.

Lautaro alisaini mkataba wake hadi mwaka 2023 alipofika klabuni hapo Julai 2018. Masharti kamili na tarehe ya dili kukamilika bado havijawekwa wazi. Lakini inatarajiwa dili hili litakamilika wiki ijayo, kwa mujibu wa ripoti.

Barcelona bado wanatajwa kuwa wataendelea kufukuzia saini yake, wao wakitajwa kuwa walikuwa tayari kutoa €10m.

39 Komentara

    Gud update

    Jibu

    Asante kwa makala#meridianbettz

    Jibu

    Inter wamefanya hivyo ili kumshawish azidi kubaki sababu kuna vilabu kama barcelona ilikua inamhitaj sana

    Jibu

    Inter Milan watakua wamefanya vzr sana kumbakisha mchezaj hyu ni fundi na ndio rada ya Barcelona iliko ikiwa harakati ya kukamilisha kikosi kiwe na makali msimu ujao

    Jibu

    Watakuwa wamefanya Jambo jema sana

    Jibu

    Inter milan wamefanya Jambo zuri sana.

    Jibu

    Wamependa kazi yake ndio maana wameongeza mkataba kwake

    Jibu

    Habar njema sana 👍

    Jibu

    Kama kazi yake katika club ya inter inawafurahisha wana inter ni jambo zuri kwa mchezaji kuongeza jitihada ya kupambana kwenye club hiyo.

    Jibu

    Musimuachie kijana yuko vizuri.

    Jibu

    Iko vzr

    Jibu

    Habar njema sana kwa club ya inter.

    Jibu

    Safi sana inter itazidi kuimalika

    Jibu

    Vzur

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

    Hii ni habari njema

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    Hongera yake

    Jibu

    Anavyopendwa Mpaka raha#Meridianbettz

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    Habari njema sana kwetu
    Sisi mashabiki wa meridianbet

    Jibu

    Viongozi wake amefanya vizuri kumuongezea mshahara itampanguvu ya kufanya vizuri zaidi#meridianbett

    Jibu

    Habari njema sana

    Jibu

    Wamefanya Jambo la maana kumbakiza kijana maana anamchango kwenye timu ndiomaana ht Barca nao wanamuwinda

    Jibu

    Ni Jambo zuri ili aendelee kukipiga kwao

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

    siku zote mti wenye matunda ndo unaopigwa mawe

    Jibu

    Wamefanya jambo la maana

    Jibu

    Ni habari njema

    Jibu

    Hongera sana anastahili kwa kujituma kwake

    Jibu

    Good

    Jibu

    Watakuwa wamefanya jambo zuri sana#meridianbettz

    Jibu

    Safi sana#Meridianbettz

    Jibu

    Barcelona bado wanatajwa kuwa wataendelea kufukuzia saini yake, wao wakitajwa kuwa walikuwa tayari kutoa €10m.

    Jibu

    Good update

    Jibu

    Yuko vzr msimuache kijana

    Jibu

    Inter wanatumia mbinu za kivita kupiga mkwanja wa kutosha kutoka kwa Lautaro Martinez

    Jibu

    Anastahili mchango wake kwenye timu ni mkubwa.

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.