Klabu yq Ligue 1 nchini Ufaransa, RC Lens, walituma ofa rasmi ya kumsajili mshambuliaji wa Klabu ya TP Mazembe, Jackson Muleka lakini ofa yao ilipigwa chini baada ya kuwa ni ndogo mno kwa klabu na mchezaji.

Hakuna Shaka kwa Muleka ni mmoja kati ya vipaji bora zaidi barani Afrika baada ya kuwa na msimu wa kuvutia na TP Mazembe ya DR Congo, baada ya kufunga mabao saba katika mechi 10 za Ligi ya Mabingwa ya CAF msimu huu na mabao 12 kwenye Ligi kuu ya DRC, pia ndiye Kinara wa mabao katika Michuano hiyo mikubwa ya vilabu Afrika.

Kwa sasa Muleka anathaminiwa karibu €2M lakini Klabu hiyo ya Ligue 1 ilitoa €100, 000 kupata mchezaji huyo kwa msimu mmoja kwa mkopo na chaguo la kununua kwa €300, 000, Kulingana na ripoti hiyo, Lens pia ilitoa mshahara kwa karibu €3000 ambao umechukuliwa kuwa mdogo sana kwa mchezaji na wakala wake.
Kwa Mara nyingine tena Klabu kutoka Ufaransa, Lille imefungua mazungumzo na TP Mazembe juu ya uhamisho wa Jackson Muleka katika dirisha lijalo la uhamisho. TP Mazembe haitopokea ofa chini ya Euro 1M. Imeripotiwa kuwa Muleka kapokea ofa nono kutoka Lille, anasubiri tu ruksa kutoka kwa Mazembe kama watapokea ofa ya Lille.

Kwa sababu ya thamani ya pesa yako, kwa kila muamala unaofanya wa kuweka pesa kwenye akaunti yako ya Meridianbet unapata 5% bonasi.


Ester jackson
Mafanikio ni muhimu sana kwa kila mchezaji ni bahati sana kwenda lille
Zeiyana
Tp mazembe clabu ambayo hinakuza sana vipaji vya wechezaji tumeona mbwana samata ametokea pale hiyo hitakua ni moja ya mafanikio yake lille kila la kheri
Khadija
Mafanikio ni kitu muhimu kwa kila mchezaji#meridianbettz
aisha
Tp mazembe ni clabu amabayo inahitaji pongezi nyigi sana kwasababu ya kutoa vijana wenye vipaji kama vile samata na sasa ivi tunamuona lille naye kama ivyo
caroline
muleka yupo vizuriii
Dorophina
Ni vizuri km amechaguliwa kwenda lille
Tatu
Tp mazembe mana vipaji vingi kama wamemshindwa huyo wajalibu kwa mwengine
Mwanahamisi
Mafanikio ni mazuri sana ktk uchezaji
Magdalena
Habar njema
Lydia Emmanuel Magoti
Mafanikio nikitu kizuri kwamchezaji
Genia Sikaluzwe
Mafanikio ni jambo jema Sana kwamchezaji
Rose kapinga
Kila mchezaj anataka maendeleo Ili malengo yatimie
felister
Muleka ni mmoja kati ya vipaji Bora zaidi barani afrika
Sadick
Mazembe imekuwa na bahati kuuza wachezaji nje. Endapo Jackson Muleka atauzwa ni mafanikio ya timu ya TP Mazembe#meridianbettz
Frank Patrick
Twende tukawajaze waafrika kwao huko na tuwaonyeshe tulivyo mahiri ….naamini ataenda kufanya vizuri
Njiku
Ipo poa hii safii
Saupha mohamed
Mafanikio ndo kila kitu katika mchezo
devotha
kila mchezaji anahitaji mafanikio
Adelta
Mafanikio Ni kitu muhimu sana
Kwa mchezaji ,na hata kwa mtu yoyote
Akipata mafanikio anakuwa na bidii ktk kazi iko poa sana
Franky
Habar njema ihi
Issa
Muleka kaonyesha kiwango kizuri sana
Ernest
Ni jambo zuri kwa Jackson Muleka ni mwanzo mzuri wa yeye kupata nafasi ya kucheza soka la ulaya
Hope mwaikuka
Habari nzur hii
lombo
gud news
Rehema
Hii ni habari njema
Povel
Duh noma sana hiiiii
Neema juma
Kipaji chake kinamfanya awe juu zaidi yuko vzr sana
Shafii
Tp manzembe ni club kutokea Kongo ila Ina mafanikio makubwa Sana tena Sana hadi inafikia hatua ya kuuza wachezaji wake ligi za nje hili inapaswa watanzania tujufunze katika vilabu vyetu na sio kila siku majungu ya club na club hatutafikia mafanikio Kama haya.
Amiri Kayera
Kipaji kinajiuza
Zuhura omary kindamba
Asante kwa makala nzuri
Theckla
Tp mazembe wamekuwa na bahati Sana kuuza wachezaji ulaya na kwingineko
David Pere
Kweli mazembe wanatisha maana wao wachezaji wao wanawauza ulaya tu na so hapahapa Africa
Omary lukumbi
Tp mazembe ni club ambayo inakuza vipaj zaid kwa wachezaj wetu wa kiafrica hata ndg yetu mbwana samatta alikuzwa na kuonekana na genk ya ubelgiji na kumsajili mpaka sasa yupo epl pongez kwao
mwajumah
Asante kwa makala nzuri#Meridianbettz
Salma ngende
Pongezi kwa TP mazembe
Gabriel
Saf sana
Furahav
Muachieni aende tu akapambane.
sabrina
Mazembe inasifika wa kukuza vipaji
warda
Lile nao wanahangaika#Meridianbettz
Janeflora malisa
Habr njm