Pedro Rodriguez Afanyiwa Upasuaji

Winga wa Chelsea Pedro Rodriguez amefanyiwa upasuaji wa bega wakati akitajwa kuwa kwenye maandalizi ya kuhamia Roma. Nyota huyu aliteguka bega kwenye mechi ya Fainali ya FA waliyopoteza dhidi ya Arsenal.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Pedro alibainisha kuwa upasuaji wake ulifanikiwa.

“Upasuaji umeenda vizuri, nitarejea hivi karibuni. Ilikuwa vibaya sana kutokushinda Kombe la FA. Nashukuru nyote kwa sapoti yenu.” -Pedro alichapisha kwenye ukurasa wake.

Wakati mkatababa wake na Chelsea ukiwa unaelekea ukingoni, staa huyu anatajwa kuwa yupo tayari kujiunga na Roma kwa mkataba wa miaka miwili. Taarifa zingine zinasema kuwa mechi ya fainali dhidi ya Arsenal ambayo walipoteza kwa kichapo cha bao 2-1 ilikuwa ndiyo mechi ya mwisho ya staa huyu pale Chelsea.

Wakati kikosi cha Chelsea kikiwa katika maandalizi ya gemu dhidi ya Bayern Munich, Lampard atalazimika kuingia dimbani bila staa huyu pamoja pia na Pulisic na Cesar Azpilicueta wote wakiwa wanauguza majeraha.


 

Tiketi yako ya kwanza kamwe haiwezi kupoteza ukiwa na Meridianbet. Unarudishiwa 100% ya Tiketi yako ya kwanza.

Ingia mchezoni

33 Komentara

    Asante kwa taarifa#meridianbet

    Jibu

    Pedro amekuwa na pancha za ajabu sana na kumfanya kutofurahia maisha yake ya soka

    Jibu

    Pole Pedro, utapona..

    Jibu

    Get well soon

    Jibu

    Pole Sana kwajeraha lako pedro

    Jibu

    Pole sana kwa hope ata recover soon

    Jibu

    Pole sana pedro kwa kupata ajali na kufanyiwa upasuaji ila tunaamini kuwa utapona na hali yako itarudi kama zamani

    Jibu

    Duh pole Sana Pedro recover quickly

    Jibu

    Pole Pedro mungu atakusaidia

    Jibu

    Pole yake Pedro kwakua matibabu yamefanyika atakuwa sawa soon

    Jibu

    Pedro ni mchezaji nzuri sana ingawa amepata maumivi lakini bado yupo pamoja na kikosi chake ingawa bado hazijakuwa taarifa umuhimu kuwa ataondoka au atabaki bado kwani sijaona kama kunatimu ambazo zimeonyesha uhitaji wake sana hivyo tunasubiri tu kuona kama atabaki au ataondoka ingawa mkataba wake umeisha.

    Jibu

    Pole kwake

    Jibu

    Daaah! MUNGU amsaidie sana kiungo huyo mzur wa Chelsea apone mapema kwa club ya Chelsea na mashabiki wanamuhitaji kikosin
    # meridianbet Tanzania

    Jibu

    Pole sana.

    Jibu

    Dah pole sana

    Jibu

    Pedro ni mzuri na majerah yametokea kumuharibia sana

    Jibu

    Ugua pole

    Jibu

    Pedro atakaa sawa kwa kipindi hichi cha likizo mambo yataenda poa.

    Jibu

    Pole yak bado gud prayer

    Jibu

    Pole sana

    Jibu

    Pole yake

    Jibu

    Pole yake

    Jibu

    Mungu ampe kupona kwa haraka

    Jibu

    Pole yake

    Jibu

    Pole yake jamani#Meridianbettz

    Jibu

    Pole sana mwenyez mungu atakufanyia wepes upone haraka#meridianbettz

    Jibu

    Ilikuwa kama mzaha kuumia kwa Pedro. Chelsea ilipoteza wachezaji watatu kutokana na majeraha#meridianbettz

    Jibu

    Daah pole sanaa

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

    Utapona Pedro

    Jibu

    Majanga Tena hayo

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.