Manchester United na Mbio za Europa

Baada ya kupambana kuitafuta tiketi ya kushiriki Michuano ya Ulaya – UEFA msimu ujao. Sasa Manchester United wanaelekea kwenye michezo ya mwisho kunako kombe la Europa.

Manchester United walimaliza msimu wa Ligi Kuu Uingereza – EPL bila kupoteza mchezo toka mwezi Februari huku wakimaliza katika nafasi ya 3 kwenye msimamo wa EPL. Ole Gunnar Solskjaer ambaye alikuwa na wakati mgumu katika kupanga kikosi imara, alitumia kikosi kimoja kwa michezo 5 ya mwisho na hivyo wachezaji hao kuchoka sana kutokana na muda mfupi waliotumia kati ya mechi na mechi.

Kuelekea katika hatua ya mtoano kwenye michuano ya Europa. Solskjaer anakila sababu ya kuwatumia wachezaji ambao hawajatumika sana katika michezo ya Ligi Kuu – EPL. Lengo likiwa ni kuwapumzisha baadhi ya nyota wake na kuwapatia nafasi wachezaji wengine.

Daniel James, Odion Ighalo, Juan Mata, Scott McTominay, Fred, Lingard, Andreas Pereira na Sergio Romero ni kati ya wachezaji ambao Ole Gunnar Solskjaer amekuwa akiwatumia sana kwenye mashindano haya [Europa] ikilinganishwa na EPL.

Japokuwa McTominay na Fred walipata nafasi ya kuonesha uwezo wao kwenye michezo ya EPL, ujio wa Bruno Fernandez na kurejea kwa Paul Pogba ambaye alikuwa majeruhi, kumewafanya wachezaji hao [McTominay na Fred] kukaa benchi kwa muda.

Kutokana na muda wa kuanza kwa msimu mpya wa EPL kuwa karibu sana [Septemba 12], ni dhahiri kwamba vilabu vinavyoshiriki michuano ya ulaya – UEFA na Europa vinakila sababu ya kufanya mabadiliko ya vikosi vyao katika michuano hiyo.

Solskjaer anafaida ya kuwa na kikosi kipana chenye wachezaji wenye uzoefu na ambao wameshatumika zaidi kwenye michuano hiyo. Pia, uwepo wa vijana chipukizi kama James Garner, Tahit Chong, Laid na wengineo ni msaada mkubwa kwa Solskjaer na benchi la ufundi la Manchester United.

United wanarudi katika michuano hii wakikutana na LASK ambayo walipoteza kwa Man United [5-0]. Hii ni faida kwa United ambao ni kama wanakamilisha ratiba hii na kuangazia zaidi hatua ya robo fainali.

EPL

Vyombo vya habari mbalimbali nchini Uingereza viliripoti taarifa ya kuongezwa kwa muda kwa timu zinazoshiriki Michuano ya Ulaya. Endapo timu shiriki zitacheza mpaka hatua ya fainali – Agosti 21 (Europa), zitaongezewa muda wa siku 7 zaidi ya timu zingine kunako EPL kwa ajili ya mapumziko na kujiandaa kuanza msimu mpya.

Wakati Manchester United na Wolverhampton Wanders wakipambana na Europa nchini Ujerumani. Manchester City na Chelsea wao watakuwa wanacheza michuano ya UEFA itayochezwa Ureno. City wakivaana na Real Madrid, wakati Chelsea wakikipiga dhidi ya Bayern Munichen.


Tiketi yako ya kwanza kamwe haiwezi kupoteza ukiwa na Meridianbet. Unarudishiwa 100% ya Tiketi yako ya kwanza.

Ingia mchezoni

37 Komentara

    Manager wa united inafaa afanye wonders katika kombe hili

    Jibu

    Manchester united wako vizuri safari hii ni lazima wapate kombe

    Jibu

    Man wanatakiwa kukaza ili kufika malengo

    Jibu

    United itapendeza wakikaza buti kutimiza malengo

    Jibu

    Mambo yaanze tu jamani ninasubiri kwa hamu kubwa sana

    Jibu

    Kila lakheri man u kwenye mashindano ya Europa.

    Jibu

    Msimu huu man u wanaweza wakafikia malengo yao ya kubeba kombe

    Jibu

    Aminia Man U, tunatarajia ushindi

    Jibu

    Kila la her man u

    Jibu

    Man u bado iko vizuri

    Jibu

    Man u jeshi kubwa lazima watafanya maajabu.

    Jibu

    Man U awakubali kushindwa mahangamizi yanaenderea lazima wapambane wachukue kombe

    Jibu

    Wajipange sana maana sisi tumewaachia wao FA linatutosha kabisa
    Hv a good news 👍

    Jibu

    kila la kheri man u

    Jibu

    Man kila la heri

    Jibu

    United itapita round hii amna wa kumzuia

    Jibu

    Man U hawakosi sababu hawa wakitolewa huko utasikia tumechezesha kikosi B

    Jibu

    Pambanen man u

    Jibu

    Man u ninaimani watavuka kikwazo hiki maaana kwa sasa nguvu zao zitakua hapo tu maana nafasi ya kucheza club bingwa msimu ujao wanao na wachezaji wana molari Kama zote za kuwa thibitishia wana man u kwamba walistahili kumaliza nafasi nzuri kwenye ligi ya uingereza na sasa wasubili makubwa kwa msimu ujao ila mchezo wa mpira unamambo mengi Sana lolote linaweza kutokea cha msingi tusubili nini man u watafanya.

    Jibu

    Kila la kheri man u

    Jibu

    Manchester United msituangushe mashabiki wenu tunasubiri kwa hamu kuona kivumbii kwenye Europa

    Jibu

    Kazi kwao man u

    Jibu

    Man u nawatakia kila la kheri

    Jibu

    Kila la kheri man u

    Jibu

    Kazeni buti Man

    Jibu

    Kila la kheri man u

    Jibu

    Safi sn

    Jibu

    Man U iko vema sana

    Jibu

    Apa kazi ipo

    Jibu

    Man u naona wamejipanga vizur safar hii wanaweza kufika mbali

    Jibu

    Man U wako poa sana#Meridianbettz

    Jibu

    Man u wapo poa sana#meridianbettz

    Jibu

    Man U inaweza kuchukua ubingwa wa Europa msimu huu#meridianbettz

    Jibu

    Man u IPO vizurii

    Jibu

    Kila la heri man united

    Jibu

    Man U wanalitaka kweli hili kombe

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.