Niko Kwenye Fomu Nzuri Huku PSG -Neymar

Nyota wa zamani wa Barcelona, Neymar Jr anasema kuwa a nafurahia ukweli kuwa yupo kwenye fomu nzuri tangia alipojiunga na klabu ya Paris Saint Germain – PSG.

Inakumbukwa alitimba PSG akitokea Barcelona kwa rekodi ya dunia ya Euro milioni 222. Neymar ameshinda mataji 9, amefunga magoli 74 katika mechi 84 za michuano yote.

Staa huyu ambaye amekuwa akihusishwa na kurejea LaLiga, tayari ameshainua Ligue 1, Coupe de France, Coupe de la Ligue na Trophee des Champions wakati wakiwa wanalitupia macho taji la Ligi ya Mabingwa sasa.

Neymar Jr

“Miaka hii mitatu imekuja na mafundisho mengi. Nimeishi vipindi vya furaha na baadhi ya vipindi vigumu. Hasa niliposhindwa kucheza kwa sababu ya majeraha.”

“Kwa msaada wa wachezaji wenzangu, niliweza kushinda na kuzingatia kwenye kile kilichokuwa muhimu kwa kila mtu.” -Neymar

Neymar anasema anaishi nyakati bora zaidi akiwa Paris, wakati wakiwa wanajiandaa na kibarua walichonacho kwenye Ligi ya Mabingwa.


 

Tiketi yako ya kwanza kamwe haiwezi kupoteza ukiwa na Meridianbet. Unarudishiwa 100% ya Tiketi yako ya kwanza.

Ingia mchezoni

41 Komentara

    Asante kwa taarifa

    Jibu

    Ni habari njema sana kwa sisi mashabiki wake kutujuza kuwa yuko vizuri tokea ahamie PSG

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    pongezi zake kwa kupata nafasi ya kukaa sehemu ambayo anajiona yupo vizuri

    Jibu

    Namkubali sana Neymar jr#Meridianbettz

    Jibu

    Usiondoke P.S.G. neymar.ni timu kubwa iyo

    Jibu

    Neymar kwa ustaa wake wote alio kua nao lakini PSG hanonekani zaidi ya mbappe tu yota yake hime kufa

    Jibu

    Tatizo ni ujana mwingi ila mpira anaujua mno

    Jibu

    Neymar talent player

    Jibu

    Neymar kiungo bora

    Jibu

    Hongera Neymar kwa rekodi nzuri

    Jibu

    tatizo la Neymar ubishoo mwingi

    Jibu

    Neymar Yuko vizuri sana
    #meridianbettz

    Jibu

    Kweli kabisa maana anacheza kwa uhuru wa hali ya juu ana combination nzuri na wachezaji wenzake ipo poa sana

    Jibu

    Neymar ni mchezaji mzuri

    Jibu

    Neymar anajua mpira tatizo maringo

    Jibu

    Ney mar yupo vizuri

    Jibu

    Nilitamani kuona Neymar akibaki Barcelona kuendeleza utatu maridadi kati yake na Messi na Suarez ambao uliwapa mafaniko makubwa#meridianbettz

    Jibu

    Gud congr neymer

    Jibu

    Habari njema#meridianbettz

    Jibu

    Habari nzuri

    Jibu

    Neryma namkubali yuko vizur na timu pia imekpokea vyema

    Jibu

    Neymar mchezaji makini mno

    Jibu

    Neymar tokea atue PSG sijaona bado mchango wake kwenye timu ya psg Kama mchezaji mkubwa.

    Jibu

    Hii ni habari mzuri

    Jibu

    Neymar anatumia jina tu lakini kwa soka halina kiwango sana

    Jibu

    Neymar saiv ana maajabu

    Jibu

    Kwa idadi hii ya mabao angekuwa epl or la liga mchezaji bora wa dunia angelikuwa yeye

    Jibu

    Habar njema

    Jibu

    Nihabari nzuri

    Jibu

    Namkubali sana Neymer

    Jibu

    Hakika neymar Yuko vizuri Sana

    Jibu

    Neymar akiach utoto ni mchezaj mzur sana

    Jibu

    Neymar yupo vzr

    Jibu

    Neymar nae bishoo sana

    Jibu

    Watu wengi tumekuwa tukitaka kuona Neymar anapata mafanikio zaidi ambayo alitamani kupata wakati akiwa Barca, Binafsi natamani kumuona akiendelea kukipiga PSG

    Jibu

    Nikweri unacho kiungea upo sahii lakini uwache ubishoo ukiwa ndani yauwanja jembe

    Jibu

    Bado yuko vizuri.

    Jibu

    Ney mar talent prayer

    Jibu

    Acheze mpira Sasa

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.