AJ Alivyokubali Kichapo Chake cha Kwanza

Anthony Joshua aliandika historia ya kuchapwa pambano lake la kwanza toka alipoanza kucheza ngumi za kulipwa Juni 2019. Andy Ruiz alifanya vyema kwenye moja ya pambano bora zaidi katika historia ya ngumi za uzani wa juu.

Andy Ruiz alitamba katika ulingo wa Madison Square Garden, ndani ya raundi saba, Ruiz aliweza kumuangusha AJ sakafuni kwa makonde mazito.

Ushindi ule ulimpa heshima Ruiz na kuandika historia mpya katika ndondi. Ruiz alifanikiwa kushikilia ubingwa wa dunia wa IBF, WBO na WBA baada ya pambano hili.

Kabla ya pambano hili AJ ndiye aliyepewa nafasi kubwa zaidi ya kushinda pambanao, hii ilikuwa ni kutokana na rekodi yake nzuri ya kushinda kwa KO.

Lakini, AJ hakuwa na namna zaidi ya kukubali kichapo. Baada ya safari ya raundi saba, aliamua kumpa saluti Ruiz kama bondia bora.

“Nimepigwa na bondia bora, itakuwa poa sana kuona anaweza kufika mbali kiasi gani, lakini hii yote ni sehemu ya safari. Yeye ni bingwa kwa sasa, lakini nitarejea.”

-Alinukuliwa Anthony Joshua.

Bondia huyu pia kupitia ukurasa wake wa Twitter alichapisha ujumbe wa kumpongeza mpinzani wake ambaye alimkimbiza na kumshinda ndani ya raundi saba. Ujumbe wake anasomeka:

“Huu ni usiku wa Andy, Hongera bingwa”

AJ Asanda, Akubali KIchapo kwa Andy Ruiz

Athony Joshua alikuwa anatarajia kupandisha ulingoni hivi karibuni dhidi ya Tyson Fury, lakini taarifa zinasema kuwa pambano hili limesogezwa mbele.


 

Tiketi yako ya kwanza kamwe haiwezi kupoteza ukiwa na Meridianbet. Unarudishiwa 100% ya Tiketi yako ya kwanza.

Ingia mchezoni

40 Komentara

    Ilikua game ngum Sana kwake

    Jibu

    Mchezo una mambo mawili kushinda au kushinda na kama alishindwa ni jambi jema kukubali kwasababu yeye anajielewa

    Jibu

    Dah joshua alipotea vibaya hii game kwa mara ya kwanza

    Jibu

    Ushindi wa kibonge mwepesi Andy Ruiz iliishangaza dunia hata pambano la pili Joshua alishinda kwa taabu. Ruiz ni bondia mzuri#meridianbettz

    Jibu

    Mwanzo wakupotea nikujua kwaio kakili mwenyewe alipotea hapo kwenye nakozi hizo

    Jibu

    kupoteza sio chanzo cha kufeli

    Jibu

    Habar njema

    Jibu

    Pole kwa kupata kichapo, hongera kwa kumpongeza mpinzani wako..

    Jibu

    Good news 👍
    #meridianbettz

    Jibu

    Daah Joshua kwa Mara ya Kwanza alipotea vibaya kwenye hii game#Meridianbettz

    Jibu

    ilikua game ngumu sana kwake

    Jibu

    Lazima kwenye mchezo ukubali matokeo yote kushinda na kushindwa

    Jibu

    Asiyekubali kushindwa so mshindani

    Jibu

    Ndo mchezo na mwisho wa cku mshindi lazima hapatikane

    Jibu

    Ndondi ilikuwa ngumu sana pande zote mbili hakuna aliyekuwa tayari kushindwa

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    Game ngumu

    Jibu

    Hata hvyo kajitahid

    Jibu

    Tatizo la AJ alijitangazia ushind mapema na kudharau sana bila kujua mpinzan wake amejipanga vp?

    Jibu

    Andy Ruiz namkubali sana,yuko vizuri.

    Jibu

    Hii imevunja historia ya Athony baada ya kukubali kukalishwa

    Jibu

    Hii ilishangaza dunia baada ya Anthony kupigwa na kibonge tena minyama uzembe kweli mchezo wa ngumi ni taiming.

    Jibu

    Mtanange huu hulikuwa mgumu sana

    Jibu

    Good news

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    Alimdharau kibonge akajua minyama uzembe kumbeee

    Jibu

    Gud information.

    Jibu

    Alikubali kichapo lakini kwa mbinde sanaa , Ila kosa alilolifanya AJ kumdhalahi mpinzani wake Ndio maana alipigwa

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    Kibonge mwepesi alishinda vema sana

    Jibu

    Alikubali kichapo rakini kwa mbine sana#meridianbettz

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    Alikutana na ngumi jiwe

    Jibu

    Antony joshua umetuangusha mashabiki wako

    Jibu

    Gud news 👍

    Jibu

    Aliotewa Ndio alipigwa kiwepesi sanaa

    Jibu

    Ukipewa ambakati lazima ukae haina jinsi iyooo!!!

    Jibu

    AJ, aliotewa tu#Meridianbettz

    Jibu

    Tunasubili pambano jingine

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.