Taarifa zinaripoti kuwa Klabu ya Manchester United hawajakata tamaa ya kumfukuzia nyota wa Borusia Dortmund, Jason Sancho.
Wakati huo, klabu ya Borusia Dortmund tayari walishaweka wazi kuwa staa huyu atasalia klabuni hapo ikiwa klabu inayotaka kumnunua itashindwa kufanya hivyo hadi tarehe 10 Agosti. Kwa kuwa tarehe hiyo imepita, klabu inafikiri haihitaji tena kumuuza nyota huyo katika dirisha hili.
Gumzo kubwa lipo katika dau kubwa ambalo klabu inataka kumuuza staa huyu mwenye thamani ya £108m. Man United walikuwa wanafanya jitihada za kufanya mazungumzo ya juu ya dau lake lakini yanabuma.
Kwa mujibu wa mkurugenzi wa michezo wa Borusia Dortmund Michael Zorc, Baada ya tarehe waliyokuwa wameitoa kama mwisho wa kumuweka sokoni staa huyu, klabu inatarajia kuendelea kusalia na staa huyu na huu ni uamuzi wa mwisho. Na sasa yupo mazoezini kwa ajili ya kibarua kilichopo mbele yao.
Wakati huo, meneja Ole Gunnar amepuuzia kuzungumzia juu ya uhamisho wa staa huyu na hatua waliyokuwa nayo. alipoulizwa kuhusu Sancho alijibu kuwa “Siwezi kuzungumza juu ya wachezaji wa timu nyingine. Siwezi kufanya hivyo, unajua hilo. Siwezi kabisa”
Licha ya Dortmund kuonekana wameshatoa maamuzi ya mwisho, bado kuna walakini, kama wasemavyo hakuna mkate mgumu kwa chai, basi lolote linaweza kuwezekana ikiwa Man United wataweza kuwashawishi. Pesa inaweza kubadilisha mambo hata hili la Jadon Sancho.
Umekuwa mteja muaminifu wa meridianbet? Kuna zawadi kibao hadi 5% ya pesa yako inarejeshwa kwako. Kila wiki unaweza kurudishiwa mpaka Tsh 250,000.


warda
Yaani hawa hata hawaeleweki#Meridianbettz
Ester jackson
Ingependeza akabaki hapo Dortmund
aisha
Huyo abaki tuu hapo dortmund
felister
sa itakuaje
Sauda
Abaki hapo hapo Dortmund
Zeiyana
Habari njema kwa mashabiki wa Dortmund
Mwajumah
Inapendeza abaki dortmund#Meridianbettz
Angelina
Habari njema
Leonard
Sancho wenye maamuz ni club yake tu
Latifa juma mohamed
Wenyew maamuzi club yake.
Tahiya
Sijui mwisho ni nini apo
Salma ngende
Wafanye maamuzi ya mwisho
Sadick
Tetesi za usajiri wa Sancho zimevuma muda mrefu sana, mwisho Dortmund kama wamekata tamaa#meridianbettz
Zuhura omary kindamba
Ni bola abaki tu Dortmund
magdalena
united waweke pesa mezani wamchukue sancho
rama
Maoni:wamuachie tu nyota huyo akajaribu bahati club nyingine uwenda akafanya vizuri zaidi
Omary lukumbi
Mara nyingi ukwamishaj wa usajili una shindikana kwa mwenyekiti wa man united edwood yule mmarekani anazingua sana basi hata hili dili utakuta linakuja kukwama vile vile tumeona.mara kibao akifanya hv tunashindwa kusajili yule tunae mtaka yan mpka nashabiki wa man united watishie kuchoma moto nyumba yake ndio anafanya usajili man united si timu masikini ina pesa ya kutisha na ndio inayo ongoza kulipa wachezaj mishahara mikubwa
Ernest
Sancho asubiri wakati mwingine tena kama Dortund hawatokuwa tayari kupunguza ada ya uhamisho
Shafii
Usajiri wa Sancho umekua gumzo Sana kila Leo ni tetesi zake za usajiri.
Caroline
Sancho si abaki Dortmund.kwan Nani anateseka
farida ahmadi
Manchester city wamchukue tyuu sancho ni mchezaji mzuri Sana pia ataaongeza nguvu katika kikosi kabisah gardiola haongeze mkwanja wamchukue Sancho
Dorophina
Sancho ni bora akabaki tu Dortmund
Gabriel
Vilabu vilivyoonesha nia ya kuhitaji huduma ya mchezaji huyo wa timu ya Dortmund pia yeye mwenyewe amekua akitamani kurudi klabuni hapo, lakini pia vilabu kama Manchester United, Chelsea na Liverpool vimekua vikimtolea macho kinda huyo anaye washa moto kwelikweli kunako ligi ya Bundesliga
Ila upande wa Manchester United wanamtaka sana Sancho ila tatizo n dau man u wanachungulia hela
Lydia Emmanuel Magoti
Nibola abaki Dortmund
Flomena
Gumzo kubwa lipo katika dau kubwa ambalo klabu inataka kumuuza staa huyu mwenye thamani ya £108m. Man United walikuwa wanafanya jitihada za kufanya mazungumzo ya juu ya dau lake lakini yanabuma.
Nasra
Bora abaki tu
Povel
sancho Deal SWAP
aisha
Wafanye maamuzi sahihi
Sabrina
Man u waache kuichungulia pesa hiyoo wafunge maongezi wamchukue sancho
Tatu
Hii habari nzuri sie wapenzi wa mpira
Shan
Kazi kweli kweli!!!
Furahav
Tatizo pesa nyingi.
Issa
Sancho ni mahiri sana ila dortmund wampe pesa ndefu kuhakikisha anabaki
Fatuma kasomo
Sancho asubiri wakati mwingine tena
Hope mwaikuka
Yy mwenyewe ndo achague
marry
good news
JULIANA
Mambo yashakua mengi kwake
Rehema
Bora abaki tu
Rose kapinga
Club toeni maamuz kuhusu Sancho!!!!
Adelta
Good news@meridianbettz
Saupha mohamed
Bora abakiii tu
David Pere
Bado muda tutaongea tu watamuuza maana pesa ipoo
Njiku
Acha tuone kama atatua man u au atabaki klabuni kwake dortimund
Nasra
Sancho usajiri wake umekua ukisumbua Sana.
Theonestina
Maamuzi ni yake
Samiah
Mamuzi niyake