Leeds United Walitaka Kumsajili Diego Maradona

Klabu ya Leeds United ilikuwa ukingoni kuinasa saini ya legendari wa soka Diego Maradona miaka ya 1980.

Kwa mujibu wa Mkurugenzi Kiongozi wa zamani wa klabu hiyo Bill Fotherby, mpango huu ulikuwa mbioni kukamilika.

Wakati wa uongozi wake, Fotherby alishuhudia klabu hii ikipandishwa kwenda daraja la pili na baadaye kushinda taji la Ligi Daraja la kwanza. Walianza kumtamani Maradona wakiwa bado katika daraja la pili.

Kwa mujibu wa mkurugenzi huyo wa zamani wa Leads ni kuwa alikutana na wakala wa wa Diego Maradona, ambaye alifahamika kama Jon Smith wakati huo na wakafanya mazungumzo juu ya uwezekano wa kukamilisha dili hilo.

Fotherby anasema kuwa katika mazungumzo hayo aliambiwa kuwa hawezi kumudu gharama za kumsajili Maradona. Ambaye alikuwa na thamani ya takribani milioni 8. Baada ya kumwambia kuwa alikuwa na mbinu ya kupata pesa hiyo, haikupita mda taarifa hizi zikavuja!

Leeds unitd Walitaka Kumsajili Diego Maradona
Diego Maradona
Kumfukuzia Diego Maradona Kunavuja!

Licha ya juhudi za kutaka kufanya suala hili liwe la sili, tarifa za Leeds kumfukuzia Diego Maradona zilivuja na akaanza kupokea simu kuulizwa alitoa wapi pesa za kumtaka Maradona?

Wakurugenzi wa Arsenal na Tottenham ni miungoni mwa waliompigia simu na kumuuliza “Unamfukuzia Maradona? Umetoa wapi pesa?”. Baada ya stori kushika chati, Maradona aliamua kuwepo Napoli kabla ya kwenda Sevilla na badala yake Leeds walipanda daraja la kwanza na walimsajili Eric Cantona aliyewasaidia kushinda taji msimu wa 1992/93.


 

Umekuwa mteja muaminifu wa meridianbet? Kuna zawadi kibao hadi 5% ya pesa yako inarejeshwa kwako. Kila wiki unaweza kurudishiwa mpaka Tsh 250,000.

soma zaidi

39 Komentara

    Gud news

    Jibu

    Axante kwa taarifa

    Jibu

    Leeds wangefanya vyema kumsajili kwakuw alikuwa kwenye moto sana kipindi hiko

    Jibu

    Safi

    Jibu

    makala nzuri

    Jibu

    Asante kwa nakala

    Jibu

    Leeds ingekuwa imeweka Historia ya kumsajili mchezaji nyota kipindi cha nyakati zake

    Jibu

    Ingekua Leeds ya mfano wake miaka hiyo maana kua na fundi Kama huyu kwenye club nomaa sanaa.

    Jibu

    Asante meridianbet

    Jibu

    Leed United walizunguwah kwl hapo kwn Kama wangesain naiman timu ingefany vzr sana kpnd hch natumain wangeongezek moral zen wangewez kubeb Taj lolote ndan ya msimu huo

    Jibu

    Meridian mpo vizuri kwamakala nzuri

    Jibu

    Asante kwa makala

    Jibu

    leeds walizingua sana

    Jibu

    Diego maradona alikua mchezaji mzuri sana Leeds united wangeipata saini yake ingekua bonge la deal

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Diego Maradona alikuwa mchezaji mahiri duniani aliyeweka alama ya kudumu Napoli na Argentina hatasahaulika. Madawa ya kulevya yalimuondoa mapema#meridianbettz

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

    Huyu ndie Messi wa zaman namkubal sana huyu jama haswa nikikumbuka kituko ambacho alichofanya katika kombe la dunia alipokutana ilikuwa ni robo fainal ambapo walikutana na waingereza Gwiji huyo wa soka aliongeza kuwa tukio la mwaka 1986 halikuwa tukio pekee kwake kutumia mkono kwani katika kombe la dunia la 1990 alitumia mkono wake kuondoa mpira uliokuwa karibu kuingia katika goli la Argentina katika mechi dhidi ya taifa la Usovieti.
    Huyu jamaa alikuwa hatar sana

    Jibu

    Hataar xana!!!

    Jibu

    Asante kwa makala nzuri
    @meridianbettz

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Maoni:vizur aje alete nguvu pale

    Jibu

    Habari njema#meridianbettz

    Jibu

    Good news

    Jibu

    Sasa walimshindwa nini wangemsajili tu madhani wangetisha katika Shana zao

    Jibu

    Leeds united walikua na nia kubwa sana ya kumsain mchezaji nguli Diego maradona waliamini asilimia mia angefanya vizuri kwenye clabu hiyo ila ndio ivyo tena pesa sio makalatasi

    Jibu

    Makala safi!!

    Jibu

    Duuh nilikuwa sijui hii ilikuwa ipo sana hii Dah kama wangemsajili lingekuwa bonge la timu na lingekuwa linafanya vizuri sana

    Jibu

    Vizuri

    Jibu

    Ingekua Leeds ya Aina yake kwa kweli.

    Jibu

    Alikua ni mchezaji mzuri sana

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Maradona ni mkali leads wangemsajili kipindi hiko hakika wangetwaa ubingwa mara nyingi

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Namnukuu,, Kiongozi wa zamani wa klabu hiyo Bill Fotherby, mpango huu ulikuwa mbioni kukamilika

    Jibu

    Ingekuwa vizuri sana wange msajili maradona nimchezaji wakitambo Sana anajua mpila

    Jibu

    Ha haaaaaa Wangeuza sana Jezi

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.