Romelu Lukaku amefanikiwa kufunga goli la tisa mfululizo katika michuano ya Europa League kwenye mchezo wa robo fainali dhidi ya Bayer Leverkusen siku ya Jumatatu na kuweka historia mpya kwenye mshindano hayo.
Mshambuliaji huyo wa Inter Lukaku aliiweka timu yake ya Inter mbele kwa kufunga goli la pili dakika ya 21 kwenye mchezo huo uliyomalizika kwa ushindi wa 2-1 na kuwaondoa Leverkusen kwenye michuano lakini kwa upande wa timu hiyo ya Ujerumani walipata goli la kufutia machozi kupitia mchezaji wao Kai Havertz.
Lukaku amekuwa mchezaji wa kwanza kufunga katika michezo tisa mfululizo katika michuano ya UEFA Cup au Europa League na kuweza kuivunja rekodi ya muda mrefu ya Alan Shearer.
Mchezaji huyo wa kimataifa wa Ubelgiji aliwakushiriki mashindano hayo kipindi cha nyuma akiiwa na Everton mwaka 2014-15, na kufanikiwa kufunga dhidi ya Dynamo Kiev, Young Boys na Wolfsburg.
Lukaku alikuwa na msimu mzuri msimu huu akiwa na timu hiyo ya Italia kwa kufanikiwa kufunga magoli 23 kwenye Serie A na timu yake kumaliza katika nafasi ya pili nyuma ya Juventus kwa tofauti ya alama moja pekee.
Umekuwa mteja muaminifu wa meridianbet? Kuna zawadi kibao hadi 5% ya pesa yako inarejeshwa kwako. Kila wiki unaweza kurudishiwa mpaka Tsh 250,000.
Povel
Respect Lukaku magol amekuwah kwny mwendelezo mzur Sana kwny Ueropa leage na Italia kwa ujumla
Gabriel
Lukaku yuko vzur sana n mchezaji ambaye yuko kwny fom zur sana 👍 tuliona maajabu yake tokea alipotoka man u mpk anaingia inter bado anahit me namkubal sana
Tatu
Lukaku ni mchezaji mzuri amejiweka ktk nafasi nzuri
Mwajumah
Namkubali sana uyu jamaa anajua sana lukaku#Meridianbettz
Fatuma kasomo
Yuko vizuri huyu jamaa
Issa
Lukaku ni balaa toka alivyojiunga na inter milan
Furahav
Lukaku kwa sasa yuko vizuri.
felister
Lukaku amejiweka kwenye wakati mzuri
Hope mwaikuka
Lukaku yuko vzur sana Man u pale Cjui ilkuaje
Sabrina
Lukaku yupo vizuri amekua na rekodi nzuri inter
Ester jackson
Yuko vizuri sana lukaku
Ernest
Lukaku amekuwa tishio sana ndani ya Inter
Lydia Emmanuel Magoti
Lukaku yupo moto zaidi yamoto jembe hilo
Dorophina
Lukaku yupo vizuri sana
Caroline
Lukaku mtu mbayaaa
magdalena
lukaku kafanya kitu kikubwa sna
marry
han mpinzani
Sadick
Tangu amehamia Inter amekuwa na kiwango bora msimu huu,nasubiri kuona kama atafanya hayo msimu ujao#meridianbettz
JULIANA
Anastahiri sifa
Rehema
Yuko vizuri sana
jullie
Hongera zake
Rose kapinga
Amefanya vizur xana msimu uuu
Aziza mushi
Yupo vizuri.
Adelta
Lukaku yupo vizuri mchezaji mahiri 👍@meridianbettz
Saupha mohamed
Anajua sana
rama
Maoni:lukaku ni 1 ya mshambuliaji mzuri sana anazidi kuonyesha kama bado yuko vizuri
Khadija
Lukaku yupo vizuli sana#meridianbettz
Fatina mfingi
Lukaku Ni Moto wa kuotea mbali
David Pere
Na bado ataweka sanaa maana jamaa yupo kwenye kiwango kwa Sasa
Zeiyana
Toka alivyo kua Manchester lukaku ni mchezaji mwenye uwezo mkubwa tu naona bado hanaonesha maajabu yake makazi yake mapya big up sana mpambanaji Romelu lukaku
Njiku
Safii lukaku osha nyota hapo maana man u walishindwa kukitumia poa
Shan
Pongezi kwake!!!
Salma ngende
Yupo vizuri
Nasra
Lukaku amekua na wakati mzuri Sana tokea ajiunge inter.
Devotha
Hongera sana Lukaku
Latifa juma mohamed
Heshima kwa lukaku anakubalika
farida ahmadi
Pongezi Sana Rommel lukaku
marry
honger kwake na pia aongeze bidii zaid atafika mbal
Samiah
Yupo vzr
Mwanahamisi
Hongera sana lukaku
warda
Jina limepoa sana la huyu jamaa