Bakayoko: Milan Ipo Moyoni Mwangu

Nyota wa Chelsea anayehusishwa na AC Milan Tiemoue Bakayoko alisema kuwa klabu hii “iko moyoni mwangu” lakini alikuwa na wasiwasi juu ya uwezekano wa kurudi pale San Siro.

Kwa mujibu wa chanzo cha habari cha Sky Sport Italia, ameripoti kuwa klabu ya AC Milan tayari walikuwa wanafanya mazungumzo na Chelsea ili kumrudisha kiungo huyo wa Ufaransa pale San Siro.

Bakayoko Chelsea to Milan
Tiemoue Bakayoko

Hata hivyo, Tiemoue aliulizwa kuhusu kuhusishwa kwake na kurejea milan, na alishindwa kuficha hisia za mapenzi yake na klabu ya AC Milan, Japokuwa bado ana wasi wasi katika uwezekano wa kutima tena klabuni hapo.

Maneno ya Tiemoue Bakayoko

“Kila mtu anajua kuwa Milan iko moyoni mwangu na nina kumbukumbu nzuri sana pale. Kwa sasa mimi ni mchezaji wa Chelsea, na katika soka itabidi tusubiri na tuone.”

Taarifa zinasema kuwa Milan wanamtaka Bakayoko kwa mkopo kwa €3m huku wakiwa na chaguo la kumnunua moja kwa moja kwa paundi €35m.


 

Umekuwa mteja muaminifu wa meridianbet? Kuna zawadi kibao hadi 5% ya pesa yako inarejeshwa kwako. Kila wiki unaweza kurudishiwa mpaka Tsh 250,000.

Soma Zaidi

34 Komentara

    Basi fanya urudi.maana Millan nao wanakuhitaji

    Jibu

    Wakati akiwa Chelsea Bakayoko hakupata nafasi ya kutosha ya kucheza na Milan ipo ktk mradi wa kujenga timu ya ushindani#meridianbettz

    Jibu

    Bakayoko tunashukuru kwa kuonyesha mapenzi yako ya zati kwa kuipenda club yako na pia wanatakiwa wachezaji wengine waige kwako

    Jibu

    Basi fanya uludi millan wanakuitaji#Meridianbettz

    Jibu

    Fanya urudi Milan bado wanakuhitaji

    Jibu

    ni vizuri mchezaji kua na mapenzi na timu

    Jibu

    Bakayoko ni mchezaji mzuri sana afanye arudi kwenye chama lake

    Jibu

    Habari nzuri

    Jibu

    Vyema!

    Jibu

    Asante meridianbet kwa habar moto moto

    Jibu

    Mchezaji kuwa na mapenzi na timu fulani inakuaje siku hiyo timu ikikutana na timu anayoitumikia ataweza kuifunga kweli?

    Jibu

    Kipenda Roho hula nyama mbichi wamwache anapopataka tu

    Jibu

    Bakayoko bonge la mchezaji namkubal sana n wachezaji wachache ambao wanaoweza kuonyesha mapenz katika soka

    Jibu

    Basi sawa rudi millan

    Jibu

    Fanya urudi tu

    Jibu

    It’s your decision to back

    Jibu

    Gud news.

    Jibu

    Hongera kwa kuonyesha mapenzi ya dhati!!!

    Jibu

    Kama vp ww rudi tu millan

    Jibu

    wachezaji wachache ambao wanaweza kuonyesha mapenzi katika soka#meridianbettz

    Jibu

    Fanya urudi tu millan
    @meridianbettz

    Jibu

    Ni vizuri mtu yoyote kufanya kitu kile hanacho kipenda na imani kama ac Milan watampa nafasi hataipelekea kuibadilisha matokea na kubwa sehemu nzuri zaidi

    Jibu

    Safii mapenzi na timu inapendeza sana

    Jibu

    Bakayoko ni mchezaji mzuri sana Milan na nilazima awe na mapezi nayo mana anapata nafasi ya Mara kwa Mara uwanjani

    Jibu

    Nivizuri anacho kisema kipo moyoni mwake yupo Good

    Jibu

    Huu ndio mwanzo wa safari nyingine kwa Bakayoko

    Jibu

    Amua kufata moyo wako

    Jibu

    Safi sana nimependa

    Jibu

    Safi anafanya kitu moyo unataka

    Jibu

    Itakua vizuri km akirudi.

    Jibu

    afanye kile moyo wake unamsukuma kufanya tu

    Jibu

    Kweli amelizika nayo

    Jibu

    Bakayoko Amepotea kwenye Ramani

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.