Yanga SC imetangaza rasmi leo Agosti 12, 2020 kukamilisha usajili wa winga wa Kimataifa wa Tanzania, Faridi Mussa Shaha kwa mkataba wa miaka miwili akiwa mchezaji huru kutoka Club Deportivo Tenerife ya Hispania.
Usajili huo wa Mussa sasa unamfanya kuwa nyota wa nane kusajiliwa na Yanga msimu huu akitanguliwa na kiungo Zawadi Mauya (Kagera Sugar), mabeki Bakari Mwamnyeto (Coastal Union), Yassin Mustapha (Polisi Tanzania).
Wengine ni mabeki Kibwana Shomari (Mtibwa Sugar), Abdallah Shaibu (Ninja), washambuliaji Waziri Junior (Mbao) na Yacouba Sogne (Asante Kotoko) huku kiungo Feisal Salum naye akiongezewa mkataba wa kuendelea kuitumikia timu hiyo.
Umekuwa mteja muaminifu wa meridianbet? Basi fahamu kuwa kuna zawadi kibao hadi 5% ya pesa yako inarejeshwa kwako. Kila wiki unaweza kurudishiwa mpaka Tsh 250,000.
Sadick
Naona Yanga inataka kubadili kikosi kizima#meridianbettz
Povel
Yanga Kama nawaona 2020/2021
Hope mwaikuka
As long as its fine to him
Shafii
Naisubili yanga ya msimu ujao itakavyo tisha.
Devotha
Kila la kheri Farid Mussa
Gabriel
Hapa naiona sura mpya ya kikosi cha yanga usajil wao nimeupenda sana 👍
Sabrina
Yanga sio ya mchezo mchezo naona wanajipanga kutambaa msimu ujao
Mariam mtandama
Safi sana
Rose kapinga
Yanga mnapambana kutafuta mabadiliko kwenye kikosi chenu!!!
Rehema
Usaji mpya naona wa yanga hii nimeipenda sana
Mwajumah
Naona yanga wanavyoangaika kutaka kubadilisha kikosi kizima#Meridianbettz
Adelta
Yanga wako kwenye mwendo wa kutafuta
Kikosi imara kwa Sasa wameshuka Sana daraja mwenyezi mungu afanyie wepesi ktk hilo@meridianbettz
Khadija
yanga usajili wao nimeupenda#meridianbettz
Fatina mfingi
Naona wanasajili kwa msimu ujao hongeren yang!!
Zeiyana
Hii ndio yanga bhana panda mti kata mti me ningependa ungekaguliwa na mkataba wa faridi mussa shaha ili baadae yasije kutokea ya Morrison ..!
Njiku
Safii
Ester jackson
Nasubiri kuiona yanga ya msimu huu itakuwaje
Lydia Emmanuel Magoti
Naisubili kwamu Yanga kuiona kwa upya huo
Ernest
Habari nzuri kwa Yanga
Salma ngende
Karibu
Caroline
Aya Aya tutaelewana tu.yanga mbele daima
Saupha mohamed
Hongereni
Furahav
Farid namkubali ila sio wa kucheza yanga.
Dorophina
Karibu jangwan Farid
magdalena
yanga wanataka wachukue wachezaji wapya tu naona ila benchi la ufundi liongeze jitihada za kuwatengenezea mazingira mazuri wachezaji ili wapate kucheza mpira kwa juhudi kubwa
felister
yanga mbele daima
Tatu
Yanga wana mbwebwe nyingi sana isije ikawa kama ya merrison
David Pere
Naisubili yanga ya msimu ujao itakavyo tisha.hatarii
warda
Hamna kitu Apa wanajisajilia tu hovyo hovyo