Emmanuel Charles Atua Azam

Azam FC leo Agosti 12 imeingia mkataba wa miaka miwili na beki wa kushoto, Emmanuel Charles, akitokea Mbao kwa usajili huru.

Charles usajili wake ni sehemu ya kuongeza nguvu katika eneo la ulinzi la Azam FC, likiwa ni pendekezo la benchi la ufundi chini ya Kocha Mkuu, Aristica Cioaba.

Beki huyo alikuwa na kiwango bora akiwa na Mbao msimu uliopita, akifanikiwa kutengeneza mabao matatu na kufunga mawili.

Huo ni usajili wa sita kwenye kikosi cha Azam FC kuelekea msimu ujao, wengine wakiwa ni kipa David Kissu, Awesu Awesu, Ally Niyonzima, Ismail Aziz na Ayoub Lyanga.

Zoezi la usajili litafungwa na kikosi hicho kwa kumalizia nafasi mbili za wachezaji wa kigeni, wanaotarajiwa kutua nchini hivi karibuni.

Ofisa Habari wa Azam FC, Zakaria Thabit amesema kuwa malengo makubwa ni kuboresha timu hiyo kwa ajili ya msimu wa 2020/21.


Umekuwa mteja muaminifu wa meridianbet? Basi fahamu kuwa kuna zawadi kibao hadi 5% ya pesa yako inarejeshwa kwako. Kila wiki unaweza kurudishiwa mpaka Tsh 250,000.

Soma zaidi

32 Komentara

    Usajiri umepamba moto Azam, Yanga, Simba na Gwambino#meridianbettz

    Jibu

    Kila la kheri beki kisiki kwa Wana lamba lamba

    Jibu

    All ze best Emmanuel

    Jibu

    Pongezi za dhati kwa wana lamba lamba.

    Jibu

    Safi sana kwa azam kuzidi kuandaa kikosi Chao! Kila la kheri Charles

    Jibu

    Mwakani ligi itakuwa balaa maana kila mtu anajiandaa ipasavyo

    Jibu

    Emmanuel Charles n bonge la bek upande wang namkubal sana naamin atafanya mabadiliko ya nguvu

    Jibu

    Azam hawataki masihara kwenye usajili wamemchukua jeshii huyoo

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

    Kila kher fanya mapinduz Apo Azam!!

    Jibu

    Safi Sana baki nakukubali

    Jibu

    Wanafanya usajili mzuri sana azam kwa ajili ya kukiandaa kikosi chao#Meridianbettz

    Jibu

    Pongezi kwake
    @meridianbettz

    Jibu

    pongezi kwake#meridianbettz

    Jibu

    Kwa usajiri huu wanaoufanga azamu hinatuonesha kabic wanamatarajio ya kuirudisha azamu yao ile zamani

    Jibu

    Bonge la usajili

    Jibu

    Usajili wa ukweli ambao hauna lawana

    Jibu

    Usajili mnzuri sana walio ufanya azam

    Jibu

    Usajiri mzuri Sana kwa kiungo mzuri Emmanuel

    Jibu

    Azam na yenyewe haitaki masihara kwenye usajili

    Jibu

    Usajir umepamba moto bongo

    Jibu

    Kila LA heri

    Jibu

    All the best Azam Fc

    Jibu

    Pongezi kwao

    Jibu

    Hongera kwake kijana.

    Jibu

    emmanuel kanyakua bonge la dili kusaini mkataba na timu kubwa inayoshika nafasi ya tatu katika ligi za tanzania

    Jibu

    all the best

    Jibu

    Azam naona wanajipanga kwa msim ujao kila LA kheri kwao

    Jibu

    Usajiri umepamba moto Azam, Yanga, Simba na Gwambina wanakamiana kweli

    Jibu

    Azam nao wapo moto sana

    Jibu

    Kila la kheri kwa Azam

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.