Talles Magno 'Neymar Ajaye' Atemwa na Liverpool!

Liverpool hawana mpango wa kumsajili kinda wa miaka 18 -Talles Magno kutoka Vasco da Gama ambaye amepewa jina la “Neymar wa Kesho”.

Tetesi kutoka katika vyanzo vya habari za michezo nchini Brazil zilitaja kuwa Liverpool wanataka kumsajili kinda huyu ambaye anatazamiwa kuja kuwa na uwezo kama wa Neymar kwa siku zijazo.

Kwa mujibu wa Evening Standard, Liverpool wameshafanya maamuzi juu ya kinda huyu na hawana mpango wa kumsajili kwa sasa.

Talles Magno -Next Neymar
Talles Magno -Next Neymar
Talles Magno alipata umaarufu kwa kuweza kuonesha uwezo wake katika kikosi cha vijana cha timu ya taifa ya Brazili U17, kwa kuchapa magoli 5 kati ya mechi 10 alizocheza na kuwasaidia kushinda Kombe la Dunia mwaka jana.

Hata hivyo, taarifa zinataja kuwa hofu kubwa ya Liverpool ni uwezo wa nyota huyu chipukizi kubadilisha mazingira ghafla, kutoka katika soka na utamaduni wa Brazil na kuendana na mahitaji ya soka na utamaduni wa Uingereza.

Magro ana mkataba na klabu ya Vasco da Gama hadi mwaka 2022, na mkataba wake unatajwa kuwa na thamani ya £43m. Lakini, kutokana na changamoto za janga la Corona klabu hii inatarajiwa kuwa inaweza kupokea hadi £18m.


Umekuwa mteja muaminifu wa meridianbet? Kuna zawadi kibao hadi 5% ya pesa yako inarejeshwa kwako. Kila wiki unaweza kurudishiwa mpaka Tsh 250,000.

soma zaidi

44 Komentara

    Asante kwa makala

    Jibu

    ahsante kwa taarifa

    Jibu

    Talles anaonekana atakua noma zaidi ya neyma.

    Jibu

    Maamuzi yao wenyewe Liverpool kumsajili mchezaji huyo au kumuacha

    Jibu

    Talles anaonekana yupo vizuri zaidi

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    Liverpool bado wanakikosi kizuri

    Jibu

    Asante kwa makala.

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Talles hawezi kufikia kiwango cha Neymar inatakiwa ajipange vizuri

    Jibu

    Talles atakuwa anajua zaidi ya Neymar

    Jibu

    Kloop anataka wachezaji wenye hali ya ushindani

    Jibu

    Arsenal wangemchukuwa mana ni timu ambayo inakuza sana vipaji vya wachezaji kwenda timu kubwa

    Jibu

    Kama uwezo anao atapata timu nyingine kubwa zaidi ya Liverpool

    Jibu

    Cjaelewa kabsa

    Jibu

    Liverpool wachezaji wake wanajitosheleza

    Jibu

    Liverpool wanamuacha dogo anakipaji huyoo angewafaa ila atapata timu ya kumtoa nakukitizamia kipaji chake

    Jibu

    Brazil kuna Neymar lukuki tatizo wakishaanza kupata umaarufu na fedha tabia hubadilika na kupoteza uwezo wa kucheza kabumbu. Kaka ni miongoni mwa wachache waliobaki na tabia njema maisha yao yote#meridianbettz

    Jibu

    Hapa wanahofia kwanza dau pili Kama watamsajir itabid akae bench kwanza ili wajue watampa namba gan maana dogo huyo Talles Magno anaonyesha kabisa n hatar sana 👍

    Jibu

    Pesa itaongea

    Jibu

    Good news

    Jibu

    Atapata tim nyingine

    Jibu

    Habari njema kwa mashabik

    Jibu

    WAla asikate tamaa hatapata timu nyingine#meridianbett

    Jibu

    Kama uwezo anao atapata timu nyingine kubwa zaidi ya Liverpool au hata Barcelona

    Jibu

    Tellas magno ni mtu hatar sana

    Jibu

    Talles usikate tamaa maana kila kitu kinawakati wake na pia wakati wake ukifika utachezea tuu club ya liverpool

    Jibu

    Talles atulize boll naona wakati wake bado

    Jibu

    Hawa Liver nao wanaringa sana si wamchukue tu#Meridianbettz

    Jibu

    Habari njema kwa mashabiki
    @meridianbettz

    Jibu

    Wanamkataa Neymar wa Kesho.pole yao

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Cha msingi asianze kulewa sifa kwa sasa anatakiwa apambane na kujituma kwa dhati.

    Jibu

    Liverpool wanafeli sana kumuachia huyo dogo

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Asantee kwa habari

    Jibu

    Gud update

    Jibu

    Good news

    Jibu

    Wameacha majembe

    Jibu

    Nice

    Jibu

    tatzo la neymar ana dharau sana ingawa ni mchezaji mahili

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.