Arsenal wametangaza rasmi kukamilisha saini ya Jonathan Dinzeyi kwenye uhamisho kama mchezaji huru, kinda huyu wa miaka 20 anajiunga na The Gunners baada ya kuachwa na wapinzani wao wa jiji Tottenham Hotspur.
Dinzeyi, ambaye ni mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya chini cha miaka 18 ya Uingereza, sasa atakuwa kwenye kikosi cha chini ya miaka 23 cha Arsenal msimu huu.
Beki huyu bila shaka atakuwa ni sehemu muhimu ya mradi wa Arsenal katika kujaribu na kumuinua ili awe bora klabuni hapo. Dinzeyi amecheza mechi 22 za Spurs chini ya miaka 23 kwenye Ligi Kuu kwa misimu mitatu iliyopita.
Wakati washika mtutu hawa wakiongeza vijana kwa upande wa Mikel Arteta, kuna taarifa kuwa Arsenal wako mbioni kumuuza moja ya kinda wao kutoka nafasi ya ushambuliaji kwenda klabu nyingine ya Ligi Kuu Bara wiki hii.
Inavutia kuona jinsi nyongeza hii itakavyowavutia mashabiki wa kilabu, ambao watakuwa wakosoaji juu ya usajili wa mchezaji wa zamani wa wapinzani wao, ni heri kinda huyu akaleta mchango mkubwa kikosini.
Ni muhimu kujua kuwa Arsenal wanahitaji kuboresha kwa kiasi kikubwa kikosi chao cha vijana kuelekea msimu mpya, hasa ukizingatia idadi kubwa ya vijana ambao tayari wameshapandishwa kwenye kwenye kikosi kikubwa cha timu hii.
Beti Mbio za Mbwa Mubashara
Hii ni rahisi zaidi! Hapa USHINDI unaupata kwa kuchagua mbwa anayeshinda mbio na machaguo mengine yenye odds tamu.


Povel
Kila la kheri kinda Dinzenyi maisha popote kapambane Gunner
Amiri Kayera
Safi san Arsenal
Issa
Safi sana the gunners kwa usajili makini
Zeiyana
Arsenal bado wanaitaji usajiri mkubwa ili kuimarisha kikosi chao
Ernest
Kama kawaida Arsenal wa kuteleza kwa Vikinda
Shafii
Imekaa poa ni vizuri kua na wachezaji ambao watakua kwenye timu kwa mda mrefu.
jullie
wanachukua magalasa tu
Genia Sikaluzwe
Hiyo imekaa poa
Theonestina
Safi sana
Hope mwaikuka
Simkubal wala nn
Gabriel
Siku zote wanasema kosea uchumba ila usikosee kuoa huu usemi n maarufu sana hapa nchini kwetu maana kwa usajil ambao umefanywa na arsenal msimu huu ni waz kabisa hawajakosea kusajil kuanzia Gabriel hadi kinda Jonathan Dinzeyi maana Ni viungo wachanga na wako vzur sana arsenal jeshiii
Sabrina
Safi sana kama Arsenal watamchukua dogo
Samira
Huyo dogo ni moto wa kuotea mbali big up arsenal
Ester mmakasa
Kijana yuko vizuri sana hata hawajakosea .
Frank P
Gud asset
David Pere
Ni muhimu kujua kuwa Arsenal wanahitaji kuboresha kwa kiasi kikubwa kikosi chao cha vijana kuelekea msimu mpya, hasa ukizingatia idadi kubwa ya vijana ambao tayari wameshapandishwa kwenye kwenye kikosi kikubwa cha timu hii.
Rehema
Iko poa
Sauda
Safi sana Arsenal..
aisha
Hongera kwa Arsenal kwa kupata kinda
Adelta
Safi Sana arsenal
@meridianbettz
magdalena
arsenal wamefanya jambo jema sana katika kumnasa uyo mchezaji maana ni mahili sana na anaweza sana na anajituma sana na atainua sana club
Caroline
Hongera Jonathan
Nasra
Safi sana
Ester jackson
Kila la heri Jonathan Dinzeyi
felister
safi arsenal tunategemea mazuri msimu ujao
Saupha Mohammedans
Safi sana arsenal
Theckla
Yuko vizuri Sana
Rose kapinga
Point nzuri arsenal!!!
Dorophina
Arsenal bado usajili wao haujakomaa ilitakiwa watafute wachezaji wazuri sio kubeba beba tu ilimradi wamesajili
Khadija
Safi sana#meridianbettz
Sadick
Mashabiki wa Tottenham hukasirika sana kusikia Harry Kane aliwahi kuwa kwenye academy ya Arsenal na ikiwa kinda huyu ataenda kuwika Arsenal maneno ya kejeli kutoka upande wa pili hayatakosekana#meridianbettz
Neema
Safiii sana arsenal kwa kupata kinda makini
warda
Hongera Yao Arsenal