Klopp: Messi Hawezi Kusajiliwa Liverpool

Wakati taarifa za Messi kutimka Barcelona zikiendelea kuteka vichwa vya habari duniani. Kocha wa LiverpoolJurgen Klopp anaona ni uhalisia kwamba mchezaji huyo hawezi kusajiliwa Anfield katika dirisha hili.

Mapema wiki hii ilitoka taarifa iliyozua taharuki kuhusu mshindi mara 6 wa tuzo ya Ballon D’Or- Lionel Messi kutaka kuondoka Barcelona kwa kile kinachosemekana ni timu hiyo kukosa mipango endelevu yenye kuongeza ushindani katika anga la soka.

Klopp: HAIWEZEKANI Messi Kusajiliwa Liverpool.

Akiwa katika mahojiano na waandishi wa habari kuelekea mchezo wa Ngao ya Jamii, kocha wa Liverpool  amenukuliwa akisema, ” Ni nani asiyetaka kuwa na Messi kwenye timu yake? Lakini haiwezekani, gharama yake haiendani na sisi. Hatupaswi hata kuanza kufikiria, kimsingi hatuna nafasi hiyo. Lakini ki-ukweli ni mchezaji mzuri.”

Baada ya kuulizwa atajisikiaje akiona Messi anakwenda kujiunga na Manchester City ambao ni wapinzani wao katika kutetea taji lao la ubingwa. Klopp amejibu, ” Itawasaidia sana City. Itakuwa ni ngumu sana kuwafunga, ilishakuwa ngumu kuwafunga hata hivyo.

“Kwa Premier League itakuwa ni jambo kubwa kwa 100%. Kuwa na mchezaji bora duniani [nadhani] kwenye ligi itasaidia. Sidhani kama Premier League inahitaji msaada lakini itasaidia.

“Lakini pia itavutia kumuona Messi ambaye hajawahi kucheza ligi nyingine tofauti na La Liga. Mpira wa hapa ni tofauti sana, nitafurahi kuliona hilo japo sidhani kama nitaliona.

“Nadhani falsafa ya klabu hii inajulikana. Tutaangalia ni kiasi gani tunaweza na tunataka kukitumia. Kwa sasa sina cha kusema kuhusu hilo” Jurgen alijibu baada ya kuulizwa kuhusu usajili kwenye timu yake.


Beti Mbio za Mbwa Mubashara

Hii ni rahisi zaidi! Hapa USHINDI unaupata kwa kuchagua mbwa anayeshinda mbio na machaguo mengine yenye odds tamu.

Cheza Hapa

54 Komentara

    Endapo Messi atasajiriwa Man City ataleta chachu kubwa mno kwenye EPL#meridianbettz

    Jibu

    Mess kwa kujiunga liver ni ngumu sababu kuna wachezaji wenye uchezaji kama wake kama mo salah hivyo kloop itamuwia ngumu kwenye upangaji

    Jibu

    Asanteni kwa taarifa meridian.

    Jibu

    Hata mm naona awez

    Jibu

    Lolote linaweza tokea!!!

    Jibu

    Messi tunamsubilia kuona wapi ataangukia maana yeye ndio mwenye maamuzi wapi atatamani kwenda

    Jibu

    Awez kwenda liver

    Jibu

    Awezi

    Jibu

    Tunaisubili Sana hii kandarasi ya messi kutua man city.

    Jibu

    Inawezekana kabisa

    Jibu

    Makala safi

    Jibu

    Uko sahihi sana klopp

    Jibu

    Asante kwa makala#meridianbettz

    Jibu

    Ni kweli kwa kiwango alichonacho Messi ataenda kufunika vipaji vya wale ambao wanataka kung’ara katika Liverpool

    Jibu

    Maamuzi ni yake

    Jibu

    Good news

    Jibu

    klopp hamhitaji messi sababu hatokuwa na msaada wa kuzidi sababu umri wake ushakuwa mkubwa anaweza aakawasumbua baadae

    Jibu

    Piga ua galagaza,Messi lazima atatua Mancity

    Jibu

    Messi kwa kujiunga liver ni ngumu#Meridianbettz

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    Maamuzi Ni yake mwenyewe@meridianbettz

    Jibu

    Upo sahihi

    Jibu

    Klopp awezi kumsajili Messi nataivyo Messi mri wake Sasa unaenda nata Messi awez kwenda kuichezea Liverpool

    Jibu

    Ina maana Liverpool Hana hela ya kumsajili Messi.kumpata Messi mumwage manotiii

    Jibu

    Messi ni mchezaji mzuri ila kwangu me kama klopp

    Jibu

    messi hawezi kwenda kuichezea livepool#meridianbettz

    Jibu

    Liverpool yenyewe inajitosheleza kwenye safu ya wachezaji na imejipanga vizuri tu

    Jibu

    Bwanaee awezi kwenda live atafute kambi nyingine

    Jibu

    Yeye mwenyewe anajua

    Jibu

    City Wana nafasi kubwa sana ya kumsajil Messi hapo

    Jibu

    Kweli kabisa haiwezekani

    Jibu

    mess kutok barca ni ndoto wasijisumbue

    Jibu

    Pesa ya kumnunua messi kwa kipindi hichi hawawezi wakamudu.

    Jibu

    Liverpool kikosi kimekamilika kwa upande wa mafoward

    Jibu

    Uko sahihi sana klop

    Jibu

    Kauli ya klop ina maanisha kwamba afai Liverpool au??

    Jibu

    Liver pesa iyo awana

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Mess kujiunga liver ni swala gumu sana kloop hana mahesabu nae

    Jibu

    Good news

    Jibu

    huo n mtazamo wake

    Jibu

    Kloppa yuko sahihi kabisa hakuna timu au mchezaji asiyependa kucheza na messi ila kutokana na uchumi itakuwa ngumu sana kwa vilabu vingi tu

    Jibu

    Anenayo klopp Yuko sahihi hakuna klabu isiyomhitaji Messi isipokuwa Hali ya uchumi hii kutokan na Messi kuchukuliwa kwa dau kubwa

    Jibu

    Right price for right player

    Jibu

    messi chaguo lake man city tu

    Jibu

    Messi basi sema chochote kuhusu hizi tetesi jamani

    Jibu

    Yuko sahihi kabisah klopp

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

    Ukiachia mbali dau la kumsajiri messi kwa upande mwengine messi kashakua maji ya jioni tena na kama hataenda man city yote kwa ajili ya kocha wake tu nasio chengine chochote

    Jibu

    Huyu Messi Atupe Break kidogo Mana hata haeleweki

    Jibu

    Mess kwa kujiunga liver ni ngumu sababu kuna wachezaji wenye uchezaji kama wake kama mo salah hivyo kloop itamuwia ngumu kwenye upangaji

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.