UONGOZI wa Klabu ya Yanga umewaomba mashabiki wa timu hiyo kujitokeza kwa wingi Agosti 30, Uwanja wa Mkapa kwenye kikele cha wiki ya Mwanachi.
Siku hiyo Yanga imepanga kuwatambulisha wachezaji wapya na wale ambao walikuwa ndani ya kikosi kwa msimu wa 2019/20 watakaoendeleza gurudumu msimu mpya 2020/21.
Pia kutakuwa na mchezo wa kirafiki wa kimataifa na timu ya kimataifa kutoka Burundi huku burudani zikitolewa na wasanii ikiwa ni pamoja na Shilole, Madee, Chege Chigunda na Harmonize.
Ofisa Uhamasishaji wa Klabu ya Yanga, Antonio Nugaz amesema kuwa:”Tunawaomba mashabiki na wadau wa Yanga wajitokeze kwa wingi Uwanja wa Mkapa kwani kuna jambo letu muhimu.
“Malengo makubwa ni kuona kila mmoja anafurahi kuona timu yake ikiwa uwanjani na kuwaona wachezaji bora kwani usajili wetu ni makini na kila kitu kipo sawa.”
Miongoni mwa nyota ambao wamesajiliwa na Yanga ni pamoja na Fernandes raia wa Angola, Tuisila Kisinda na Tonombe Mukoko raia wa Congo, ambao ni nyota wa kigeni huku wazawa ni Farid Mussa, Abdallah Shaibu, Bakari Mwamnyeto na Waziri Junior.
Beti Mbio za Mbwa Mubashara.
Hii ni rahisi zaidi! Hapa USHINDI unaupata kwa kuchagua mbwa anayeshinda mbio na machaguo mengine yenye odds tamu.
Ernest
Ngoja tuone balaa la Yanga wazee wa Utopolo
lombo
habar njema kwa wana wa jangwan
Issa
Kama kawa wazee wa bakuli tutakinukisha carinhos ndio mwenye
Sadick
Yanga imesajiri wachezaji wa viwango tuone watakavyosaidia timu kuleta ushindani ktk ligi#meridianbettz
Aziza mushi
Habari njema kwa wanayanga.
Hope mwaikuka
Mmmh!
Rose kapinga
Hakuna maajabu huko!!!
Salma ngende
Kama kawa!!!!
Shafii
Wana yanga tunahamu ya kushuhudia iyo siku.
Sabrina
Yanga ya msimu ujao sio ya mchezo mchezo
Omary lukumbi
Hatar hiyo siku ya wananchi
Tahiya
Endelea kuhasisha na muujaze huo uwanjani sijui mtaweza kwer
neema hassan
Habari njema kwa wapenzi wa soka
Samira
Wanaangaika tu hao Yanga
Saupha mohamed
Haoo yanga mapepe tu
Theonestina
Lili kuwa bonge la pambano
Theonestina
Yanga atapigwa tu
Flomena
Malengo makubwa ni kuona kila mmoja anafurahi kuona timu yake ikiwa uwanjani na kuwaona wachezaji bora kwani usajili wetu ni makini na kila kitu kipo sawa.
magdalena
tatizo la utopolo wana maneno mengi na mbwembwe nyingi vitendo ni zero
Mwajumah
Mh ngoja tusubili tu iyo tarehe 30 tuone kama kutakua na maajabu kwa yanga#Meridianbettz
Adelta
Habari njema kwa mashabiki wa yanga
@meridianbettz
Fatina mfingi
Mmmh yanga hamna jipya!
Nasra
Yetu macho kuona hilo jambo
Fatuma kasomo
Amna maajabu yanga
Dorophina
Msimu huu yanga wamejitahidi sana kwenye usajili wamechukua wachezaji wazuri sana nasubilia kuwaona hiyo jpili
Khadija
Mashabiki tupo pamoja kabisa yani hiyo kesho mapema sana ndani ya uwanja wa uhuru(mkapa)
Caroline
Tunakujaaaaaa yanga Kama yanga hatutawaangusha
Njiku
Yanga imesajili sana ilo balaa lake sio poa
Lydia Emmanuel Magoti
Nataka nione utopolo huo kwasababu sio kwakujigamba huko Wana utopolo
Rehema
Yanga ya Sasa sio Kama ya zamani gonja tuwaonyeshe maajabu
Neema
Yangaaaa oyeeeeeee
Povel
Kila la kheri utopolo fc
Sauda
Habari nzuri kwa Yanga
aisha
Tunahamu kubwa ya kushuhudia makubwa kutoka kwa wana yanga.
Gabriel
Burudan itakuwa ya kufa mtu yanga mko vzur sana
Mwanahamisi
Yanga juuuu
Agness
Habari njema kwa Wana yanga
Amiri Kayera
Tunatak kuona usajir wao
Janeflora malisa
Tusubir tuone
Furahav
Yanga hamna kitu
Shan
Yanga tukutane j2
JULIANA
Asante kwataharifa
Ester jackson
Kwa sisi mashani wa yanga lazima tuje
felister
sema nini usajili huu wa yanga nimeuelewa
Devotha
Habari nzuri kwa wapenzi wa yanga
Zeiyana
Yanga ya kimataifa
warda
Jambo Tumeliona la kuporomoka
David Pere
Burudan itakuwa ya kufa mtu yanga mko vzur sana