Dybala, Mazungumzo ya Mkataba Yanaendelea

Mazungumzo ya Paul Dyabala na Juventus juu ya mkataba mpya

Taarifa zinaripoti kuwa klabu ya Juventus bado inaendelea kufanya jitihada za mazungumzo juu ya mkataba wa nyota wake Paulo Dybala, lakini pande hizi mbili zinadaiwa kuwa kwenye changamoto ya kufikia makubaliano ya mkataba mpya.

Wakati mkataba wa sasa wa nyota huyu ukiwa unafika ukingoni mnamo mwaka 2022, Il Corriere dello Sport wanaripoti kuwa mazungumzo ya Juventus na Dyabala yamekuwa yakiendelea tangia mwaka 2019.

Licha ya kuwepo na taarifa kuwa Dyabala alitaka kuondoka kwa madirisha ya uhamisho yaliyopita, kipindi hiki pande zote mbili zinatajwa kuwa zipo tayari kuongeza mkataba wao uliopo mezani kwa sasa.

Meneja mpya wa Juventus, Andrea Pirlo amenukuliwa akithibitisha kuwa mshambuliaji huyu ataendelea kuwepo hapo kwa Kibibi Kizee cha Italia, licha ya ukweli kuwa klabu bado haijafikia matakwa ya Dyabala.

Mazungumzo ya pande hizi mbili yamekuwa na maendeleo kwa kiasi fulani, huenda yakafika tamati hivi karibuni.


 

Beti Mbio za Mbwa Mubashara

Hii ni rahisi zaidi! Hapa USHINDI unaupata kwa kuchagua mbwa anayeshinda mbio na machaguo mengine yenye odds tamu.

Cheza Hapa

45 Komentara

    Binafsi naona Dyabala amekuwa na msimu mzuri sana ndani ya Juventus sijui nini kinataka kumtoa huko labda anataka kucheza ligi nyingine tofauti na maswala ya mkwanja

    Jibu

    Asante meridianbet kwa habar moto moto

    Jibu

    Pamoja na Dyabala kucheza mechi chache lakini amefanya vzr kiasi cha kupewa tuzo. Ni imani yangu Pirlo atatafuta namna nzuri itakayowawezesha kucheza pamoja na Ronaldo#meridianbettz

    Jibu

    Dyabal kuondoka juve msimu huu inawezekana sana sababu anaonyesha kwa konte hana nafasi

    Jibu

    Asanten kwa habari meridian.

    Jibu

    Ni jambo jema

    Jibu

    Dyabal ni motoo

    Jibu

    Vizuri

    Jibu

    Naona dyabala amekuwa na msimu mzuri sana ndani ya juvetus

    Jibu

    Dybala ingekua vyema ukaja kukipiga EPL.

    Jibu

    Inapendeza

    Jibu

    Bora asalie turin

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

    Asante kwa taarifa#meridianbettz

    Jibu

    Namkubal sana Dyabala

    Jibu

    Dyabala ni mchezaji mwenye kiwango kizuri sana

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Great

    Jibu

    juve wangejitahidi kumnyaka mchezaji huo na angewafaa sana

    Jibu

    Namkubali sana Dyabala#Meridianbettz

    Jibu

    Namkubali Sana Dyabala @meridianbettz

    Jibu

    Dyabala yupo vizuri sana juve wangemuacha tu haendelee kuitumikia klabu

    Jibu

    Safii

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Dyabala amekua na msimu mzuri Sana Juventus

    Jibu

    Mr naona dybala anatakiwa atafute chaka lingine ili kwa mafanikio yake zaidi na kunyakuwa mataji mengi zaidi hasa uefa champions

    Jibu

    Namkubali Sana Dyabala yupo vizuri

    Jibu

    Gud news 👍

    Jibu

    Asanteeni kwa taarifa hii #meridianbet

    Jibu

    Dyabala yupo vzr sana

    Jibu

    Dyabal ni hatari sana

    Jibu

    Dybala ungeangalia uwezekano wa kutafuta club nyengine.

    Jibu

    Dyabala msimu huu akiingia sokon lazma agombaniwe yuko vzur sana

    Jibu

    Itakua vzur km juve itambakish

    Jibu

    Msimu wake wa her

    Jibu

    Saini tena mzee baba.

    Jibu

    Safii

    Jibu

    Dyabla ni juve tu mazima

    Jibu

    Good news

    Jibu

    ni jambo zuri

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

    Dyabala yupo vizuri sana kwa nafasi hii yengine walio mpa uwongozi wa juventus ataleta mabadiliko makubwa sana

    Jibu

    Atabaki tu Juve Hawashidwi

    Jibu

    Binafsi naona Dyabala amekuwa na msimu mzuri sana ndani ya Juventus sijui nini kinataka kumtoa huko labda anataka kucheza ligi nyingine tofauti na maswala ya mkwanja

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.