Ligue 1: Kadi 5 Nyekundu ndani ya dakika 2.

Kunako soka la Ufaransa – Ligue 1, mchezo kati ya PSG na Marseille ulihitimishwa kwa vurugu zilizopelekea kadi 5 nyekundu ndani ya dakika za nyongeza.

Mchezaji nyota wa PSG – Neymar Jr, Parades, Kurzawa pamoja na Amavi na Benedetto wa Marseille walipewa kadi nyekundu kwa kuhusika na vurugu zinazosemekana chanzo ni ubaguzi wa rangi.

Mchezo ambao ulimalizika kwa PSG kupoteza kwa goli 1-0 ikiwa ni mara yao ya kwanza kuanza msimu kwa kupoteza michezo miwili mfululizo tangu mwaka 1984-85, kulizuka taharuki na wachezaji kushikana mashati zikiwa zimesalia dakika 2 mchezo kumalizika.

Ilimbidi muamuzi wa kati kuangalia VAR na kujiridhisha kuwa ni makosa kwa wachezaji hao na kuamua kuwapatia kadi nyekundu wote watano kwa kuhusika kwenye kitendo hicho.

Baada ya mchezo huo, Neymar aliweka ujumbe kwenye ukurasa wake wa Instagram akisema, “ninachojutia ni kutokumpiga usoni Alvaro Gonzalez.

Gonzalez nae akajibu kwa kusema, “hakuna nafasi ya ubaguzi”. Kocha wa Marseille – Andre Villas Boas amenukuliwa akisema, “hakuna nafasi ya ubaguzi kwenye mpira, lakini sidhani kama hicho ndo kilichotokea, tunapaswa kuliangalia hilo.”

Je, PSG wataendeleza ubabe wao kwenye Ligue 1 msimu huu?


SHINDA NA MERIDIANBET!

Tengeneza pesa kidijitali kwa kubashiri mbio za farasi hapa Meridianbet! Chagua nani ashinde, unakusanya mkwanja.

Cheza Sasa.

36 Komentara

    Huu baguzi sio mzuri kabisa kwa halii inapoteza ladha ya mpira kwa ujumla

    Jibu

    hakuna nafasi ya ubaguzi kwenye mpira, vema kwa wote kupewa kadi nyekundu

    Jibu

    Ubaguzi ni Jambo baya sana

    Jibu

    Jamani mbona Wanaanza kujipanikisha tena#Meridianbettz

    Jibu

    Ubaguzi sio mzuri mahali popote pale yani

    Jibu

    Neymar kama akiendelea hivi hatapoteza mashabiki wake na ustar wake pia ukingalia juzi tu ametoka kupewa dili na kampuni ya puma kuitangaza kampouni yao

    Jibu

    Mwanzo mbaya huo

    Jibu

    Duh sio poa

    Jibu

    Duh pole yakee

    Jibu

    Ubaguzi sio mzuri pole yake@meridianbettz

    Jibu

    Duu noma Sana

    Jibu

    duh wameanza vibaya

    Jibu

    Dah

    Jibu

    sawa kabisa tena ikobidi wafungiwe hao

    Jibu

    Mh noma

    Jibu

    Mambo ya kizamani hayo sasa ivi kila mtu hana haki sawa

    Jibu

    Hivi kwanini huu ubaguzi wa rangi wanaupeleka hadi kwenye mpira

    Jibu

    Hii mbaya sana

    Jibu

    Sio poa kabsaa

    Jibu

    Ubaguzi wa nini sasa jamani kwenye mpira

    Jibu

    Sio poa

    Jibu

    Hii naon imevunja record

    Jibu

    ubaguzi wa rangi wanaupeleka hadi kwenye mpira

    Jibu

    Waache ubaguzi wa rangi watapasuka Neymar ataki masihara

    Jibu

    Mmmh si jambo zuri

    Jibu

    Mmmh noma

    Jibu

    Watu hawaelimiki

    Jibu

    Ubaguzi wa rangi ushakuwa Ni tatizo kubwa kama linaingia mpaka kwa watechazi mpira utakuwa hauna radha kabisa

    Jibu

    Ubaguzi siyo poa

    Jibu

    huu ubaguzi ukiendelea itakuwa mbaya sana maana watu wenye ngozi nyeusi itafikia hatua watagoma kucheza katika mechi za watu wenye ngozi nyeupe

    Jibu

    Sio poa kabisa

    Jibu

    Ubaguzi sio poa

    Jibu

    Duh noma sana

    Jibu

    Sio poa

    Jibu

    hakuna nafasi ya ubaguzi kwenye mpira, vema kwa wote kupewa kadi nyekundu

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.