PSG Kumuunga Mkono Neymar

Baada ya vurugu zilizopelekea kadi 5 nyekundu ikiwemo ya Neymar, PSG wametoa tamko la kumuunga mkono mchezaji wao kwa kile kinachodaiwa ni kitendo  cha kibaguzi dhidi yake.

Katika mchezo uliowakutanisha Paris Saint Germain dhidi ya Marseille, kulitokea vurugu zikiwa zimebaki dakika 2 mchezo huo kukamilika. Chanzo kikitajwa ni rafu dhidi ya mchezaji wa Marseille iliyochagizwa na maneno ya kibaguzi kwa wachezaji wa timu pinzani.

Sakata hilo lilishika hatamu na kufuatia refa wa mchezo huo kuangalia VAR na kufanya maamuzi ya kutoa kadi 5 nyekundu.

Taarifa iliyotolewa na PSG kupitia ukurasa wao maalumu inasema, “Hakuna nafasi ya ubaguzi kwenye jamii, soka au maisha yetu.

“Tunategemea kamati ya maadili kupitia LFP itafanya uchunguzi wa kina na kutoa majibu sahihi. Klabu ipotayari kushirikiana na LFP kama itahitajika.”


SHINDA NA MERIDIANBET!

Tengeneza pesa kidijitali kwa kubashiri mbio za farasi hapa Meridianbet! Chagua nani ashinde, unakusanya mkwanja.

Cheza Sasa.

39 Komentara

    Nikweli sheria hifate mkondo wake ili kudhibiti yasije kutoka makubwa zaidi ya hayo

    Jibu

    Ni atua njema kwa PSG dhidi ya Neymar!!

    Jibu

    Hatua zichukuliwe iwe mfano kwa wachezaji wengine

    Jibu

    Kitendo cha ubaguzi wa rangi sio mzuri sheria ifuate mkondo wake

    Jibu

    Vizuri PSG wapo nyuma ya Neymar

    Jibu

    VAR ndo itaamua hapo

    Jibu

    sizai kama ubaguzi utasha apa duniani sababu hatuna umoja na mshikamano

    Jibu

    Walichokifanya PSG kumuunga mkono Neymar wamefanya vyema sana

    Jibu

    Tunategemea kamati ya maadili kupitia LFP itafanya uchunguzi wa kina na kutoa majibu sahihi. Klabu ipotayari kushirikiana na LFP kama itahitajika #meridianbet

    Jibu

    Vizuri

    Jibu

    Si kitu kizuri walicho kifanya psg

    Jibu

    Good

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Tunategemea kamati ya maadili kupitia LFP ifanye uchunguzi wa kina na kutoa majibu yaliyo sahihi , ni Jambo la aibu na kusikitisha Hali hii ktk sekta mpira inakuwa endelevu why apartheid is so huge?

    Jibu

    Fanyen tu hvyo hz mambo ziishe kabsa

    Jibu

    Swala la ubguzi wa rangi linasumbua sana kwenye soka

    Jibu

    Kadi 5 ni nyingi kwa kweli

    Jibu

    Sidhani mchezaji mkubwa tena Professional kama Neymar anaweza kureact kama alivyoonyesha juzi kwenye mechi dhidi ya Marseille bila kutokuwa na jambo ambalo wengi wetu limezua sitofahamu kubwa lakini bado tunasisitiza Chama cha Soka cha Ufaransa kina kazi ya kutafuta ufumbuzi juu ya tukio hili.

    Jibu

    PSG wamefanya vyema

    Jibu

    Neymar yuko sahihi kabisa

    Jibu

    Hatua njema kumsaport mchezaj wao kwny jambo njema

    Jibu

    Umoja ni nguvu

    Jibu

    Safiiii Sana

    Jibu

    Hata mm namuunga mkono

    Jibu

    Swala hili la ubaguzi wa rangi limekuw kubwa sana ila mamlaka husika zinapaswa ziweke sheria kali juu ya hilo

    Jibu

    Mechi hii imewek record Kwa kadi

    Jibu

    Vizur

    Jibu

    Safiii

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Safi sana PSG#meridianbettz

    Jibu

    Hiyo ndo inatakiwa

    Jibu

    Psg wamefanya vyema

    Jibu

    Ata Mimi namuunga mkono.Ubaguzi ni mbaya sana

    Jibu

    Neryma alikuwa sahihi

    Jibu

    Alikuwa sahihi Neryma

    Jibu

    Kwa ubaguzi huu lazima uungwe mkono lakini inabidi ziwekwe sheria uwanjani dhidi ya ubaguzi kuepuka vurugu uwanjani

    Jibu

    kadi 5 ni nyingi sana

    Jibu

    Tunategemea kamati ya maadili kupitia LFP itafanya uchunguzi wa kina na kutoa majibu sahihi. Klabu ipotayari kushirikiana na LFP kama itahitajika #meridianbet

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.