Kocha wa Chelsea – Frank Lampard amesisitiza kufurahishwa na kiwango cha kipa wake – Kepa Arrizabalaga.
Kumekuwa na maneno mengi yanayoelekezwa kwa Kepa kufuatia kuonesha kiwango kibovu, wachambuzi wa soka katika vyombo mbalimbali vya habari wamekua wakihoji nafasi ya kipa huyo kwenye kikosi cha Chelsea.
Mwishoni mwa msimu uliopita, Kepa alijikuta akimuachia Caballero nafasi yake na yeye kusugua benchi. Ni dhahiri mashabiki na wachambuzi wa soka walitarajia Chelsea wangesajili kipa mwingine katika dirisha hili la usajili, mpaka sasa usajili huo haujafanyika.
Akizungumza baada ya mchezo wao wa kwanza wa EPL dhidi ya Brighton Albion, Lampard amesema, “Ninafurahi kuwa na Kepa, kuhusu mkwaju ule, sidhani kama angefanya chochote cha ziada kuzuia asifungwe, lakini nimeona ameongeza kiwango cha kujiamini. Kepa yupo hapa na ni kipa wetu.”
“Kama tutasajili mwingine itakuwa ni ushindani tu. Hiyo ni asili ya Chelsea, ni kwa timu nzima, tutaona itakavyokuwa.”
Akiulizwa kuhusu uwezekano wa kusajili mchezaji mwingine, Lampard amejibu, “Hapana, sio kwa sasa. Bado tuna muda mpaka kufikia mwisho mwa dirisha hili la usajili.
“Tunakikosi kipana, tunapaswa kuangalia ni namna gani tunakiongoza tukitazamia ushindani ndani ya kikosi, kwa sasa hakuna habari yeyote kuhusu hilo.”
Chelsea wameanza msimu mpya wa EPL kwa ushindi wa 3-1 dhidi ya Brighton Albion.
SHINDA NA MERIDIANBET!
Tengeneza pesa kidijitali kwa kubashiri mbio za farasi hapa Meridianbet! Chagua nani ashinde, unakusanya mkwanja.


Nasra
Acha afurahi tu anajua shughuli yake
Shani
Pongezi kweke akaze buti azidi mpa rahaa
Tatu
Lampard alishasema awezi kusajili mtu mwingine tena wanabana matumiz msimu huu
Lydia Emmanuel Magoti
Lampard lazima afurai mlinda goli yupo vizuri
Zeiyana
Me naona Chelsea himefanya vizuri sana kumpa nafasi yengine kepa ni kweli mashabiki wa Chelsea walitaka kuona usajiri mpya wa kipa
Angelina
Acha afurahi kepa yuko vizuri sana
magdalena
kepa sasa ni wakati wako wa kuonesha maajabau zaidi
Neema
Kwa kweliii hapo lazima lampard afurahii
Flomena
Hongera kwake nikipa mzuri sana
Salma ngende
Pongezi kwake
Dorophina
Kepa ni kocha mzuri sana anajua nn anakifanya ndiomaana lampard anamfurahia hakiwa nae
Rama
Jambo zuri hilo
Janeflora malisa
Vzr
Fatuma kasomo
Safi yupo vizuri
Latifa juma mohamed
Lampard anafurahi yote cz ya mlinda goli yupo fit Sana.
Hopemwaikuka
Pambana mwamba
jullie
safi sana
aisha
Kepa nikipa aliesajiriw kwa pesa nyingi lakin parfomance yake imekua si nzur toka alipokuwa hapo chelsea
Hidaya
Kipa anayejielewa
Ernest
Kuna jambo lipo nyuma ya pazia hapa juu ya Arrizabalaga
Faraja molell
Pambanaa
Gabriel
Kepa ni kipa mzuri sana anajua nn anakifanya ndiomaana lampard anamfurahia hakiwa nae
Povel
Lampard anampongezah kepa baaada ya kupata matoke lakin ukiangaliah mchezo wa jana kepa kafungwa goli la kizembe Sana lait Kama wasingepata matokeo lawama zote kwake kwa kuruhus goli la kizembe
Rose kapinga
Kazi nzuri
Sabrina
Mwacheni Lampad afurahi jamani kipa wake anajua
Issa
Kipa mzuri ila hakuwa na msimu uliopita haukuwa mzuri kwake
Amiri Kayera
Kwer kiwango cha keppa kimepand san
Rehema
Safi
Saupha mohamed
Jambo zuri
Tumaini kasalile
Nice
Khadija
Pambana#meridianbettz
Theckla
Amesema kile alichokiona
Mwajumah
Acha afurah kipa yupo vizur sana
Sauda
Vizuri sana
Mwanahamisi
Pongezi kwake akaze buti
Elika
Kijana yuko vizuri katika ubora wake
Fatina mfigi
Upo vizur kijan kaza buti
Caroline
Kepa kaonesha kiwango kikubwa
Samiah
Vzr
Ester jackson
Hivyo ndivyo tunavyotaka mashabiki
farida ahmadi
Lampard kocha mzuri Sana
felister
pongezi kwake akaze buti zaidi
David Pere
Kepa nikipa aliesajiriw kwa pesa nyingi lakin parfomance yake imekua si nzur toka alipokuwa hapo chelsea