Tetesi za Soka Barani Ulaya.


Tetesi zinasema Tottenham huenda wakamtumia kiungo wa kati wa England Dele Alli, 24, chambo wakati wakijaribu kumrejesha Gareth Bale, 31, kutoka Real Madrid.

Everton huenda wakakubali ofa kwa ajili ya wachezaji kadhaa, akiwemo winga wa England Theo Walcott, 31, winga wa Nigeria Alex Iwobi, 24, na mshambuliaji Muitaliano Moise Kean, 20, wakati wakitarajia kuongezea nguvu kikosi cha Carlo Ancelotti.

 

Tetesi za Soka Barani Ulaya.

Mkataba wa miaka mitatu wa mshambuliaji wa Gabon Pierre-Emerick Aubameyang kuichezea Arsenal una thamani ya pauni milioni 55 yakiwemo marupurupu.

Arsenal bado wanapanga kuwaongeza wachezaji zaidi kwenye kikosi chao, huku wakiwalenga kiungo wa kati wa Atletico Madrid Thomas Partey, 27 na kiungo mchezeshaji wa Lyon, Mfaransa Houssem Aouar,22, miongoni mwa wachezaji wanaowataka.

Bayern Munich wako tayari kurudisha shauku yao kwa ajili ya winga Callum Hudson-Odoi, 19, huku wababe hao wa ligi ya mabingwa Ulaya wakiwa na matumaini kuwa Chelsea itapokea ofa yao.

 

Tetesi za Soka Barani Ulaya.

Barcelona itajaribu kumsajili mchezaji wa nafasi ya ulinzi anayekipiga Manchester City Eric Garcia,19, msimu huu ikiwa wataweza kuwauza walinzi wa kati Samuel Umtiti,26, na Jean-Clair Todibo,20.

Tetesi zinasema Juventus wanakumbana na wakati mgumu kuhusu kumsajili mshambuliaji wa Barcelona Luis Suarez, ambaye anapata changamoto kupata pasi ya Italia kwa haraka.

Tetesi zinasema Chelsea inaelekea ukingoni kukamilisha taratibu za kumsajili Msenegali Edouard Mendy, 28.

Inter Milan bado wanamshawishi kumpa mkataba wa kudumu beki wa Chelsea Emerson Palmieri,26. lakini West Ham pia inamtolea macho wakitaka akichezee kikosi hicho kwa mkopo.

 

Tetesi za Soka Barani Ulaya.

Tetesi zinasema Kushindwa kwa Roma kukubaliana Manchester United kuhusu ada ili kumpata beki wa kati Chris Smalling kutaifanya klabu hiyo ya italia kufikiria kuhusu mbadala.

Arsenal imekataa ombi la Sheffield kumnyakua mshambuliaji Folarin Balogun. Klabu hiyo inaaminika kutoa ofa ya pauni milioni 3 na marupurupu mengine lakini washika bunduki wanataka dili ya karibu pauni milioni 15 kwa ajili ya mchezaji huyo mwenye miaka 19, ambaye amechezea vikosi vya vijana vya Marekani na England.


SHINDA NA MERIDIANBET!

Tengeneza pesa kidijitali kwa kubashiri mbio za farasi hapa Meridianbet! Chagua nani ashinde, unakusanya mkwanja.

Cheza Sasa.

41 Komentara

    Huo mkataba tu wa Aubameyang ni noma sana

    Jibu

    Duuh sio kwa mkataba huo wa million 55 na marupurupu juu jamn bonge la shavu ilo#Meridianbettz

    Jibu

    Everton bado hawajakamilisha usajili tu

    Jibu

    Arsenal wanataka kutuonesha maajabu yao msimu huu sio kwa usajili huo

    Jibu

    Uko vizur huu sasa utakua uzi mpya!!

    Jibu

    Mkataba wa aubameyang Ni hatarii!!#meridianbettz

    Jibu

    Duuh sio kwa mkataba huo pambe tuu

    Jibu

    Asanteni kwa taarifa

    Jibu

    arseal wamepata mchezaji mwenye kiwango kizuri sana kimpira

    Jibu

    Arsenal msimu huu watafanya maajabu

    Jibu

    Asantee kwa makala

    Jibu

    Arsenal wanakuja kivingine msimu huu

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

    Zimekaa poa.

    Jibu

    Habari nzuri

    Jibu

    Chelsea nao bado wanatapatapa na usajili

    Jibu

    Vizuri sana

    Jibu

    Everton siyo kwa mkataba huo

    Jibu

    Chelsea mi naona tayari imeshajijenga wangejikita kwenye mazoezi zaidi waachane na mambo ya usajili tena

    Jibu

    Iko bomba sana

    Jibu

    Iko poa sanaaa

    Jibu

    IPO vizurii

    Jibu

    Imekaa poa sana Arsenal bado wanapanga kuwaongeza wachezaji zaidi kwenye kikosi chao, huku wakiwalenga kiungo wa kati wa Atletico Madrid Thomas Partey, 27 na kiungo mchezeshaji wa Lyon, Mfaransa Houssem Aouar,22, miongoni mwa wachezaji wanaowataka

    Jibu

    Zko miaa

    Jibu

    Habari nzuri

    Jibu

    Zimekaa poa#meridianbettz

    Jibu

    Nasubir kuon balle atatok Madrid

    Jibu

    Safi tuu

    Jibu

    Asante meridianbet kwa makala nzuri

    Jibu

    Ni habari njema

    Jibu

    Naona wamejipanga

    Jibu

    Iko poa

    Jibu

    Asante

    Jibu

    Safii sana arsenal

    Jibu

    Makala nzuri sana, Asante Meridianbet kwa updates kali za michezo

    Jibu

    duh makal nzuri sana

    Jibu

    Habari nzuri kwa Arsenal

    Jibu

    Usajili unazidi kupamba moto

    Jibu

    Chelsea mi naona tayari imeshajijenga wangejikita kwenye mazoezi zaidi waachane na mambo ya usajili tena

    Jibu

    Nice information

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.