Mikel Arteta: Hakuna Mazungumzo na Lacazette

Majibu juu ya Alexandre Lacazette;

Klabu ya Arsenal imethibitisha kupitia meneja wake Mikel Arteta, wamethibitisha kuwa hakuna mazungumzo yaliyofanyika juu ya mkataba mpya wa nyota wao Alexandre Lacazette.

Nyota huyu ameanza vyema msimu wake na washika bunduki, akiwafungia goli la kwanza kwenye mechi dhidi ya Fulham na West Ham United.

Mikel Arteta: Hakuna Mazungumzo na Lacazette

Staa huyu amekuwa akihusishwa na kuondoka klabuni hapo kwa mda kidogo, baadhi ya klabu alizohusishwa naye Barcelona, Inter Milan na Atletico Madrid.

Licha ya kusalia na miaka miwili kwenye mkataba wake wa sasa, Mikel Arteta anasisitiza kuwa kwa sasa hakuna mazungumzo yaliyofanyika na kwa sasa siyo kipaumbele cha klabu.


FURAHIA KASINO YA MTANDAONI

Tembelea ardhi ya maajabu ushangazwe na mengi ikiwa ni pamoja na urahisi wa kujipatia utajiri kupitia Kasino ya Meridianbet.

Cheza Sasa

38 Komentara

    habari mpya

    Jibu

    Asante kwa makala

    Jibu

    Vizur

    Jibu

    Me ninamatumain sana kuwa lacazett ataendelea kusalia Arsenal bado anaumuhim mkubwa sana

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Mm naona kocha wa arsenal hana mpango kabisa na Alexander lacszetter

    Jibu

    Asante kwataharifa

    Jibu

    Makala nzuri

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    Lacazett ataenderea kusalia Arsenal bado anaumuimu mkubwa Sana apo

    Jibu

    Hingekua vizuri Barcelona kama watainasa sain ya lacazett

    Jibu

    Vizur

    Jibu

    naona arsenal wanataka kumtema kijana wa watu

    Jibu

    Jeuri ya Arsenal hiyoo

    Jibu

    Arsenal wanaonyesha msimamo thabiti

    Jibu

    Arsenali wanajeuli sana 🤣🤣🤣🤣🤣

    Jibu

    Bonge la makala

    Jibu

    Angebaki hapo arsenal ingekuwa powa zaidi kuliko kuondoka

    Jibu

    asante meridianbet kwa habar moto moto

    Jibu

    Habari nzuri

    Jibu

    Kwa namna Arteta alivyohaha kuhakikisha Aubameyang anaongeza mkataba inaonyesha Lacazette sio muhimu tena Arsenal#meridianbettz

    Jibu

    Akikiwasha lazm wamuongez mkataba

    Jibu

    Wanajishaua

    Jibu

    Ni wakati wa lacazete kujarib maisha sehem ingine

    Jibu

    Habarii moto moto mnatujuza

    Jibu

    Lacazett atafut chaka lingine kwakuw kwa uwepo wa auba inanyesha arteta hamhitaj

    Jibu

    hii inaonyesha arteta hana mpango na lacazetti

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Arsenal wanataka kumtema lacazette hawana lolote wakati mchezaji mzuri sana

    Jibu

    Mbona Kama Arsenal hawamtaki lacazzete.

    Jibu

    Lacazette mshambuliaji ambaye akiwa kwenye timu tarajia matokeo

    Jibu

    Akufukuzae akuambii toka

    Jibu

    Duh!!!

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

    Jamaa Kama hawamtaki vile au ndio akufukuzae hakwambii toka

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Ebwana ndiyo

    Jibu

    ninamatumain sana kuwa lacazett ataendelea kusalia Arsenal bado anaumuhim mkubwa sana

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.