Ibrahimovic: Ningekuwa Kijana Ningefunga Zaidi

Zlatan Ibrahimovic ameanza poa msimu wake wa Serie A wakati AC Milan wakiibuka na ushindi wa bao 2-0 dhidi Bologna.

Ibrahimovic aliziona nyavu mara mbili, kwa kichwa makini na kwa mkwaju wa penalti na kuwazawadia ushindi wa kwanza kwa Milan, huku jumla ya magoli yake kwa msimu huu mpya yakiwa yanasomeka magoli 3 kwa michuano yote.

Staa huyu nusura afunge magoli matatu, Hat-Trick. Ibra anasema kuwa angeweza kuona nyavu zaidi kama angekuwa kijana.

“Tumeshinda, na ningeweza kufunga magoli mengi, kama ningekuwa na miaka 20, ningefunga mawili zaidi. Mimi siyo mzee, nipo kama Benjamin Button, ninaanza mzee na kufa kijana”

Ibrahimovic: Ningekuwa Kijana Ningefunga Zaidi

“Tukiacha utani pembeni, timu imefanya vizuri, hatujawa katika asilimia 100 na tulifanya makosa ambayo mara nyingi tunayaepuka, lakini inatoa ishara nzuri.”

Zlatan ameongeza kuwa anapenda zaidi kuwa na majukumu, na kadri anavyokuwa na msukumo zaidi, inakuwa ni motisha kwake kufanya vizuri ili watu waachane na kuongelea umri wake. Anasema anapenda kuchukuliwa kama mchezaji mwingine mwenye miaka 20 na kutimiza majukumu yake.

Msimu uliopita, Ibrahimovic aliziona nyavu mara 10 kwenye Serie A, tangia aliporejea Milan na kuwasaidia Milan kwa nafasi yake.


 

FURAHIA KASINO YA MTANDAONI

Tembelea ardhi ya maajabu ushangazwe na mengi ikiwa ni pamoja na urahisi wa kujipatia utajiri kupitia Kasino ya Meridianbet.

Cheza Sasa

40 Komentara

    ibrahimovic uwezo wa kufunga zaidi bado anao tu ata kama umri umeenda kwenye soka bado yupo vizuri sana

    Jibu

    Nikweli anacho kisema Movic kwasasa umli ushaenda nakasi ishakata ndomana anaongea ivyo Movic ila namkubali Sana jembe huyo

    Jibu

    Umri umeenda lakini bado yupo poa.

    Jibu

    Nia yake Ibrahimovic kuiweka timu yake kwenye safu nzuri na ndio maana hanajituma ili ndoto yake hifikie

    Jibu

    Bado yuko fiti

    Jibu

    Ibrahimovic umri mkubwa lkn anauwezo mkubwa kucheza na bado yupo fiti

    Jibu

    Ibrahimovic umri umeenda lkn bado yupo fiti angekuwa kijana ingekuwaje sijui

    Jibu

    Ibrahimovic anatukumbusha kwamba old is gold#meridianbettz

    Jibu

    Mchezaji mahiri ambaye anazeeka na mpira wake

    Jibu

    Anachosema Ibrahimovic ni sahihi. Nahisi angerudi ujananii angefanya mapinduzii makali sana.ila ndohana jinsi umrii unamtupa mkono

    Jibu

    yupo fiti angekuwa kijana ingekuwaje sijui

    Jibu

    Bado yupo vizuri

    Jibu

    Ibramovic umri umeshaeenda sana kashazeeka tena

    Jibu

    Ibramovic yuko vizuri sana ingawa umri wake umeenda

    Jibu

    Bado anauwezo

    Jibu

    Nkweli ila umri ushakua jion

    Jibu

    🔥

    Jibu

    Immobile na CR7 Wajipange mzee Baba kaanza vizuri

    Jibu

    apambane tu

    Jibu

    Kikubwa kiwango tu

    Jibu

    True say

    Jibu

    Ng’ombe hazeeki maini

    Jibu

    Haha hahaaa kila kitu na muda wake

    Jibu

    Hapo ndipo unapofanya maneno ya wahenga yaaminike zaidi kwamba ng’ombe hazeeki maini!!!

    Jibu

    Uyo ndio kadabra ni fowad makin sana anapopata nafas

    Jibu

    duuh

    Jibu

    Ibrahimovic namkubali sana hasa anapopata chance hawezi kuichezea

    Jibu

    Umli umeenda ila kiwango chake bado kipo

    Jibu

    Bado yupo vizuri

    Jibu

    Nikweli ila ata hivyo kipindi chake kimeisha

    Jibu

    Bado yupo vizuri

    Jibu

    ni kweli bado yupo vizuri

    Jibu

    Bado analipa

    Jibu

    Umeshakuwa mzee funga kidogo Milan kinawatosha

    Jibu

    Japo umri umeenda lkn anatisha

    Jibu

    Mbona bado Yuko vizuri ibramovic

    Jibu

    Bado yupo vizur

    Jibu

    Yupo vzr

    Jibu

    Nikweli anacho kisema Movic kwasasa umli ushaenda nakasi ishakata ndomana anaongea ivyo Movic ila namkubali Sana jembe huyo

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.