Inter Haijakata Tamaa kwa Kante

Inter Milan ipo kwenye mpango wa kuipata saini ya kiungo wa Chelsea raia wa Ufaransa, N’Golo Kante msimu huu licha ya kukutana na vigingi kutoka kwa mabosi wake.

Antonio Conte alishinda taji la Ligi Kuu England akiwa na Kante wakati alipokuwa ndani ya Chelsea hivyo anakubali uwezo wake na anajua namna ya kumtumia iwapo atampata ndani ya Klabu ya Inter Milan.

Kwa mujibu wa ripoti kutoka Italia zimeeleza kuwa ili Inter Milan waipate sani ya nyota huyo ni lazima wamuuze mchezaji wao mmoja ili kufikia malengo ya dau la nyota huyo ambalo linatajwa kuwa ni Euro milioni 46.

Chelsea hawana mpango wa kumuuza nyota huyo kwani walipokea ofa ambayo iliwahusisha wachezaji wawili ambao ni Christian Eriksen and Marcelo Brozovic.

Miamba hiyo ya Italia inahitaji saini ya Kante mwenye miaka 28 ili kuongeza nguvu ndani ya kikosi chao ambacho kinahitaji kufikia mafanikio makubwa kwa msimu wa 2020/21.

Chelsea wapo tayari kumuuza nyota wao Jorginho kuliko Kante na hawana habari na wachezaji wawili ambao wameambiwa watapewa ikiwa ni Eriksen ama Brozovic.


FURAHIA KASINO YA MTANDAONI

Tembelea ardhi ya maajabu ushangazwe na mengi ikiwa ni pamoja na urahisi wa kujipatia utajiri kupitia Kasino ya Meridianbet.

Cheza Sasa

29 Komentara

    Jipange vizur mpate sain ya kijan uyo yuko vizur san kante!!

    Jibu

    sioni sababu ya kante kuondoka Chelsea abaki tu apo apo

    Jibu

    Abaki tu chelsea

    Jibu

    Wangempata Kante ingekua vizuri

    Jibu

    Chelsea hawawezi kumuuza kante bado hana humuimu mkubwa sana clabuni pale

    Jibu

    Kante nikiungo mzuri Sana na hanaejituma Sana habaki tuu Chelsea tuu

    Jibu

    Abaki tu hapo Chelsea

    Jibu

    Inter wakipanda dau la kueleweka blues watamruhusu aondoke

    Jibu

    Kila timu aliyocheza Ngolo Kante imeleta matokeo chanya kuanzia Leicester, Chelsea na Timu ya Taifa Ufaransa,itakuwa pigo kwa Chelsea ikiruhusu aondoke#meridianbettz

    Jibu

    Ni ngumu kwa wakati huu Chelsea kumuachia ngolo..

    Jibu

    Kwani inter mnakwama wapi mkwanja nini fanyeni hima muumchukue kijana huyo

    Jibu

    Abaki tu Chelsea

    Jibu

    Abaki tu chelsea

    Jibu

    Chelsea sizani kama watamuuza kante kwani walishaka nonge nono hata hvyo inte bado awajakata tamaa

    Jibu

    Abaki tu chelsea

    Jibu

    Abaki tu chelsea kama kuna maslai kwake

    Jibu

    Komaen tu mpaka kieleweke

    Jibu

    Kanye Yuko vizur

    Jibu

    N’Golo Kante n bonge la mchezaji yuko vzur sana 👍

    Jibu

    Itakua ngum Chelsea kumuachia

    Jibu

    Conte naona kaamua

    Jibu

    Ujio wa kinda kama havertz umemfanya mkongwe kukos nafasi the blues

    Jibu

    Kila timu aliyocheza Ngolo Kante imeleta matokeo chanya kuanzia Leicester, Chelsea na Timu ya Taifa Ufaransa,itakuwa pigo kwa Chelsea ikiruhusu aondok

    Jibu

    Wekeni dau la kutosha mezani,mmpate jembe hilooo!!

    Jibu

    Inter wapambane tu chelsea ningumu sana kumuachia Kante

    Jibu

    inter wakimpata kante watakuwa wamepata mtu mzuri sana atakae wapa changamoto timu ili uwezo wake uweze kuwa imara ila sizani kama lampard atakubali kumuachia uyu jamaa

    Jibu

    Kante Ni mchezaji mzuri sana inter wakimpata atawasaidia

    Jibu

    Conte anaona kante mtu sahihi kwake

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.