Diego Costa Anakwamisha Uhamisho wa Federico Chiesa?

Juventus wanaripotiwa kuwa wanajaribu kumsajili Federico Chiesa kutoka Fiorentina, lakini kibibi kizee cha Italia hakiwezi kukamilisha mpaka wamuuze Diego Costa.

Duru zinasema kuwa Costa anaonekana hataki kuondoka klabuni hapo. Vyanzo kadhaa vya habari nchini Italia, vimebainisha kuwa uhamisho wa Federico Chiesa umesubirishwa kwanza wakati Costa akionesha kutotaka kuondoka.

Diego Costa Anakwamisha Uhamisho wa Federico Chiesa?
Federico Chiesa

Costa alikuwa anatarajiwa kwenda Manchester United, lakini mashetani wekundu hawakutaka kukubaliana na dau la €30m. Pia Wolves walikuwa wanaitaka huduma yake, lakini suala hili linaonekana kutomshawishi Costa.

Juventus wanahitaji kumuuza angalau mchezaji mmoja, ili waweze kumsajili mwingine na zoezi hili linatakiwa likamilike mapema kabla ya Oktoba 6.

Ripoti zinaweka wazi kuwa Juventus na Fiorentina tayari wameshafanya makubaliano ya uhamisho wa Chiesa kwa mkopo kwa €10-12m lakini pia kutakuwa na chaguo la kumnunua,Chiesa pia ameshakubali kuungana na Juventus.

Wakati seke seke la Costa likiendelea Juventus wanatajwa kuwa wanajaribu pia kuwauza wachezaji wengine, Mattia De Sciglio na Sami Khedira.


 

Beti kwa Kitochi Kushinda 300,000,000!

Unajua kuwa unaweza kushinda milioni mia tatu kwa buku tu? Ndiyo! Unaweza kushinda kwa kupiga *149*10# na kubashiri. Ingia mchezoni!

Soma Zaidi

28 Komentara

    Chiesa makini sana

    Jibu

    Kama juve atafanikiwah kumuuza Costa na kumsajil chiesa watakuwah wamepata replacement sahihi juve

    Jibu

    Duuh

    Jibu

    Kama deal hlo likatuwah done chiesa in and costa out juve watakuwah wamepata replacement sahihi

    Jibu

    Sio poa

    Jibu

    Noma sana iyooo

    Jibu

    kwani asipotoka na chiesa dili lake ndo litakuwa limekwana

    Jibu

    Chiesa anajituma sana

    Jibu

    Goodupdate

    Jibu

    Federico kama atapata nafasi ya kwenda juve itakuwa imepata mchezaji mzuri sana

    Jibu

    Sio poa

    Jibu

    Kwa Style ya uchezaji wa Douglas Costa huenda Uingereza patamfaa zaidi

    Jibu

    Diego cost ataki kuondoka juve kwa sasa mpaka pale makubaliano yatakapokakilika

    Jibu

    Costa uingereza inamfaa zaidi

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

    Duu sio poa hiyo ila jembe anajituma Sana huyo

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    Costa uingereza panamfaa

    Jibu

    Man Chester wakazene kusajiri wachezaji kabla dirisha la usajiri alijafungwa

    Jibu

    sio poa

    Jibu

    Safii

    Jibu

    Sio sahihi

    Jibu

    Sio poa.

    Jibu

    Good news

    Jibu

    kumsajil chiesa watakuwah wamepata replacement sahihi juve

    Jibu

    Kama juve atafanikiwah kumuuza Costa na kumsajil chiesa watakuwah wamepata replacement sahihi juve

    Jibu

    Gud

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.