Genoa: Wachezaji Wawili Zaidi Wapata Corona

Kikosi kizima cha Genoa kililazimika kufanyiwa vipimo na wachezaji wawili zaidi wamebainika kuwa na maambuki ya virusi vya Corona.

Genoa wameweka wazi kuwa maibu ya vipimo vya wachezaji wao Petar Brlek na Miha Zajc yamebainisha maambukizi ya Covid19. Awali msaidizi wa Rolando Maran, Walter Bressan ndiye aliyethibitika kuwa na maambukizi kabla ya vipimo vya timu nzima.

Jumla ya watu 19 mpaka sasa kikosini hapo, wakiwemo wachezaji 14 wamepatikana na maambukizi ya Corona.

Genoa wameahirisha mazoezi ya timu mpaka itakapofika Jumatatu, huku mechi iliyokuwa inawakabili ambayo walitakiwa kuicheza kesho dhidi ya Torino, iliahirishwa toka Alhamisi.

Genoa walicheza mechi yao ya mwisho na Napoli Jumapili, na vipimo vya awali vya Napoli havijaonesha yeyote kuwa na maambukizi kikosini hapo. Napoli wamefanya tena vipimo vingine, na wanatarajia kupata majibu katika masaa machache.

Napoli vs Genoa
Napoli walifanya vipimo baada ya mechi dhidi ya Genoa, wanasubiri majibu ya awamu ya pili ya awali yakibainisha kutokuwepo na maambukizi.

 


 

Beti kwa Kitochi Kushinda 300,000,000!

Unajua kuwa unaweza kushinda milioni mia tatu kwa buku tu? Ndiyo! Unaweza kushinda kwa kupiga *149*10# na kubashiri. Ingia mchezoni!

Soma Zaidi

28 Komentara

    Covid 19 ni janga la dunia ,get well soon🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼

    Jibu

    So sad

    Jibu

    Duh corona bado ni tatizoo

    Jibu

    Poleni sana maana hili gonjwa ni tishio

    Jibu

    Wazungu hili gonjwa bado linawatesa sana. Pole yao wagonjwa wa corona

    Jibu

    huu ugonjwa unazidi kuwa tishio kila kona

    Jibu

    Corona noma

    Jibu

    Wazidi kuchukua tahadhali

    Jibu

    Corona sio poa

    Jibu

    Nchi za wenzetu covid 19 imeshakuwa tatizo kubwa

    Jibu

    Hii ni hatari na huenda wakasababisha maambuzi zaidi kwa wachezaji wengine kwenye ligi, Bodi ya Michezo ya Italia wanatakiwa kuangalia swala hii kwa umakini zaidi.

    Jibu

    Corona sio powah kwa kweli kwa nchi za wenzetu mungu awasaidie ili janga liwaepuke

    Jibu

    Huu ugonjwa sasa sio poa..Mungu atulinde tu na sisi mataifa mengine

    Jibu

    Coronavirus sio poa pole yake

    Jibu

    Duu atariii hii iligonjwa lishakuwa tishio Sasa inabidi watu Sasa wawemakini Sana na gonjwa hili vingine Sasa kuwa ndama wachezaji noma sana

    Jibu

    Ishakuwa tabu na hili gonjwa

    Jibu

    Sad newz

    Jibu

    Wanapitia wakati mgumu sana wachezaji hili gonjwa la korona imekua hatari sana

    Jibu

    Pole yao ili ni janga la dunia litakuepo siku zote!!

    Jibu

    Corona ishakuwa tatizo kwa wachezaji wasipokuwa makini wanaweza kuambukizwa

    Jibu

    Pole yao

    Jibu

    corona ikiindelea hivi ligi zinaweza zikasimamishwa tena km msimu uliopita

    Jibu

    Vyama vya italia viwe makini sana na korona la sivyo ligi itakua na uambikiz mkubwa

    Jibu

    Corona itafelisha Sana team

    Jibu

    Corona nomaa

    Jibu

    corona bado ni tatizoo

    Jibu

    Corona hatar sana

    Jibu

    Covid 19 ni janga la dunia ,get well soon

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.