AC Milan Wapiga Hatua Mazungumzo na United

Milan wanaripotiwa kuwa wapo karibu kukamilisha mazungumzo juu ya kukamilisha uhamisho wa beki wa Manchester United Diogo Dalot.

Beki huyu, ambaye ni raia wa Ureno amekuwa akihusishwa na kuhamia Serie A. Milan na Roma ndiyo wanaotajwa kuiwinda saini yake.

Wakati mazungumzo ya dili hilo yakiwa yanaendelea kati ya Milan na Manchester United, kwa mujibu wa ripoti nchini Italia Milan ndiyo wapo kwenye nafasi nzuri ya kumsajili nyota huyu wa zamani wa FC Porto dhidi ya Roma.

Dalot aliungana na Manchester United Julai 2018 kwa dau la €22, na anatarajiwa kuwa anaweza kuondoka kwa mkopo kwenda San Siri kwa sharti la kumnunua

Mapema mwezi Septemba, beki huyu aliripotiwa kuwa anataka kuondoka United, wakati Ole Gunnar akitajwa hana mpango wa kumtumia kwa sasa. Kama dili litakamilika, wikiendi hii atakuwa anaingia Milan.


Beti kwa Kitochi Kushinda 300,000,000!

Unajua kuwa unaweza kushinda milioni mia tatu kwa buku tu? Ndiyo! Unaweza kushinda kwa kupiga *149*10# na kubashiri. Ingia mchezoni!

Soma Zaidi

17 Komentara

    waweke dau mezani tu kijana watampata mbona

    Jibu

    Tatizo la Man U sijui wanasanda wapi wekeni mzigo mchukue kiungo huyo apige kazi

    Jibu

    Milan wakimpata dalot wanakuwa wazuri baadae

    Jibu

    Man u wekeni mpunga mezani mchukue kiungo uyo

    Jibu

    habari njema

    Jibu

    Vinzur sana

    Jibu

    Si vbaya

    Jibu

    Dalot amekuwa kweny kiwango duni toka atue united

    Jibu

    Sio mbaya

    Jibu

    Nice update

    Jibu

    Good

    Jibu

    Good news

    Jibu

    Good news

    Jibu

    Wamchukue yuko vzur atasaidia sana kikos cua Ac millan

    Jibu

    Pesa ndio kila kitu

    Jibu

    Yuko vizuri atawasaidia katika kikosi chao

    Jibu

    Tatizo la Man U sijui wanasanda wapi wekeni mzigo mchukue kiungo huyo apige kazi

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.