Barcelona: Hakuna Mazungumzo Juu ya Ousmane Dembele

Mkurugenzi wa michezo wa klabu ya Barcelona, Ramon Planes amekanusha madai kuwa wamefanya mazungumzo na klabu ya Manchester United Juu ya nyota wao Ousmane Dembele.

Ousmane Dembele aliibuka kama chaguo jingine la Manchester United baada ya sarakasi za kuinasa saini ya Jadon Sancho kuwa hazina matumaini. Japokuwa mazungumzo juu ya Sancho yanatajwa kuendelea, United walikuwa wanahitaji mbadala.

Ousmane Dembele and Messi

United walikuwa wanahusishwa na mpango wa dili la mkopo, wakati Paul Pogba akitajwa kumshawishi rafiki yake Dembele, ambaye ni mwanatimu mwenzake wa timu ya Taifa Ufaransa kusogea Old Trafford.

Hata hivyo, Planes amekanusha kuwepo kwa mazungumzo yeyote na kusisitiza Ousmane Dembele bado ni mchezaji wanayemtegemea.

“Kwanza kabisa, hakuna mazungumzo yeyote na Manchester United kwa sasa. Makataa kabisa juu ya hilo.”

“Ni mchezaji tunayemtegemea, tunajua kipaji chake. Tunatumaini timu itafaidika vyema na yeye mwaka huu.”

Kwa kauli ya Planes, klabu haina matarajio ya kumuacha Dembele aondoke kwa msimu huu.


 

Beti kwa Kitochi Kushinda 300,000,000!

Unajua kuwa unaweza kushinda milioni mia tatu kwa buku tu? Ndiyo! Unaweza kushinda kwa kupiga *149*10# na kubashiri. Ingia mchezoni!

Soma Zaidi

30 Komentara

    Tatizo la Dembele pia majeruhi yanamsumbua sana huenda ikawa hasara kubwa kwa Man U

    Jibu

    sasa awa nao wanataka kutuvuruga vichwa

    Jibu

    Man u dembele hawafai watakuwa wanamuweka benchi tu kutwa majeraha

    Jibu

    Vipi tena kwa dembele Barcelona majelui Yana msumbua Sana mzee baba huyo

    Jibu

    Ni kwamba Dembele Yuko vizuri sema wanazingua

    Jibu

    Dah pole kwa man u naona wamepata mapigo kidogo

    Jibu

    Kama Man U wanahitaji mbadala ni bora wamchukue Dembele maana yupo fit sana.

    Jibu

    Barcelona wana wanauwitaji mkubwa sana wachezaji ili kukamilisha kikosi chao kiwe kwenye ubora sizani kama watamuuza dembele

    Jibu

    Daah pole sana kwa man u

    Jibu

    Man U polen

    Jibu

    Man u mmemkosa sancho mmehamia kwa Dembele mtamuwezaa??

    Jibu

    Hatar

    Jibu

    Man u baada ya kukosa kwa dortmund sasa wanajalibu upande wa barc

    Jibu

    Hiki ni kizungumkuti si poa

    Jibu

    🤷

    Jibu

    Poleni sana

    Jibu

    Mtajuana wenyewe

    Jibu

    Man u wajipange upya

    Jibu

    Man u kumchukua dembele atawakosti tu kwakua majeruh ni tatizo kubwa kwa strrika huyu

    Jibu

    Duuh majanga hayo

    Jibu

    United watu wa romance hawawez kupata sain ya dembele

    Jibu

    Dah kwaiy izo tetesi tu

    Jibu

    Aisee majanga

    Jibu

    Duuu atalii

    Jibu

    Man u mmemkosa sancho mmehamia kwa Dembele hatar sana 👍

    Jibu

    Mbonaa majangaa

    Jibu

    Kazi ipoo

    Jibu

    Hatari sana

    Jibu

    Tatizo la Dembele pia majeruhi yanamsumbua sana huenda ikawa hasara kubwa kwa Man U

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.