Mabingwa wa EPL Liverpool wamethibitisha kuwa Sadio Mane amekutwa na maambukizi ya virusi vya Corona na kwa sasa anajitenga.
Mshambuliaji huyo, ambaye alianza na kufunga katika ushindi wa 3-1 Jumatatu dhidi ya Arsenal, ameonyesha dalili ndogo za COVID-19 lakini anajisikia mwenye afya njema kwa ujumla.
Maelezo ya Liverpool yalisomeka: “Sadio Mane amepima na kukutwa na maambukizi ya virusi vya Corona na kwasasa amejitenga na kufuata miongozo yote ya kuepuka maambukizi.
Lakini, kama vile Thiago Alcantara, Klabu ya soka ya Liverpool imesema itaendelea kufuata taratibu zote zinazohusiana na ugonjwa wa COVID-19 na Mane atajitenga kwa muda unaohitajika.
Liverpool pia wanahofia wanaweza kuwa bila Jordan Henderson kwa mchezo dhidi ya Aston Villa ambao unakutanisha timu mbili ambazo hazijafungwa kwenye EPL.
Alex Oxlade-Chamberlain, Joel Matip, na Kostas Tsimikas pia wataendelea kukaa nje ya dimba kwa Liverpool hadi baada ya mapumziko ya mechi za kimataifa.
Beti kwa Kitochi Kushinda 300,000,000!
Unajua kuwa unaweza kushinda milioni mia tatu kwa buku tu? Ndiyo! Unaweza kushinda kwa kupiga *149*10# na kubashiri. Ingia mchezoni!


Adelta
Pole Sana sadio
magdalena
duh balaa kubwa sasa ili gonjwa
Fatina mfigi
Pole sad mungu akufanyie wepec upone haraka!
Lydia Emmanuel Magoti
Duu pole yake Mane
Sauda
Pole yake
Elika
Mungu amfanyie wepesi
Dorophina
Pole mane pengo kwenye timu yake
Zeiyana
Huu ugongwa umekua hatari sana kwa nchi za wenzetu
Mwajumah
Pole sana sadio
Tatu
Wasipokuwa makini wachezaji wanaweza wakaamhukizana corono
Nasra
Ugonjwa ushakuwa tishio
Angelina
Corona bado ni tishio
Caroline
Duh pole sanaa
Mwanahamisi
Pole yake
Shani
Janga limekuw janga pole kwake
felister
mmmh
Amiri Kayera
Corona itafelisha team nyingi
Venerose
Jamani ili gonjwa balaa
Hopemwaikuka
Sorry for sadio
Hidaya
Corona bado ipo
Issa
Covid ni shida sana unasumbua kwenye michezo
aisha
Pole sana mane
Povel
Covid 19 ni janga la dunia
Rehema
Duuuh
Latifa juma mohamed
Get well soon sadio mane, covid 19 huu ugonjwa sio poa kbs,wajitahid ktk vifaa tiba na vifaa Kinga.
Saupha mohamed
Pole yake
Gabriel
Duu pole sana Mane
farida ahmadi
Get well soon sadio mane
Neema
Pole yake
Asia Abdy
Doh pole yake
Rose kapinga
Tatizo iloo
Sabrina
Pole Mane
Tahiya
Get well soon Mane
David Pere
Get well soon sadio mane, covid 19 huu ugonjwa sio poa kbs,wajitahid ktk vifaa tiba na vifaa Kinga.
Samiah
Duuh