Al Ahly Yatwaa Ligi ya Mabingwa Afrika

MABINGWA wa kihistoria wa Ligi ya Mabingwa Afrika, Al-Ahly ya Misri,  jana usiku Novemba 27 wamefanikiwa kutwaa ubingwa wa tisa baada ya ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya mahasimu wa Zamalek.

Zamalek ambao hawajatwaa ubingwa tangu walipovuliwa na Simba mwaka 2003, walikuwa wa kwanza kupata bao kupitia kwa Suyala dakika ya 5, Al-Ahly walisawazisha bao hilo dakika ya 39 likifungwa na Shikabala.

Wakati wengi wakiamini kuwa mechi hiyo ya ‘Cairo Derby’ watashuhudia dakika 120, mchezaji wa Al-Ahly, Ashfa, aliweka kambani goli la dakika ya 88 ambalo liliwahakikishia ubingwa.

Kocha wa Al Ahly ya Misri, Pitso Mosimane, ametwaa taji lake la pili la klabu Bingwa Afrika baada ya kufanya hivyo kwa mara ya kwanza 2015/2016 akiwa na Mamelodi Sundowns ya kwao Afrika Kusini.

Baada ya kuiwezesha Al Ahly kutwaa taji la tisa la Ligi ya Mabingwa Afrika kutokana na kukaa na ukame kwa miaka saba, inaarifiwa kuwa Pitso atapewa bonasi ya dola za Marekani 500,000 (Tsh Bilioni 1.1).

Pitso anaingia katika rekodi ya kuwa kocha wa tatu aliyewahi kutwaa mataji ya Ligi ya Mabingwa Afrika mara mbili akiwa na timu mbili tofauti.


USICHELEWE KUKAMATA MKWANJA HUU!

Hadi 130,000,000 TSH Kutolewa kwa washiriki wa shindano la Playson Cashfall. Unaipata kwenye Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet Pekee. Jisajili sasa, kisha ingia mchezoni kabla ya Novemba 29.

Meridianbet Tanzania Casino

SOMA ZAIDI

16 Komentara

    Good news 👍😃

    Jibu

    Pongezi kwao

    Jibu

    Jambo jema sana

    Jibu

    Kwa Africa hawana mpinzan

    Jibu

    Hongera yao

    Jibu

    Pongezi kwao

    Jibu

    Wababe wa africa

    Jibu

    Congratulations to them

    Jibu

    Pongezi kwao

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Wanastahili pongezi

    Jibu

    Safi sana kwa kupeperusha bendera ya Africa

    Jibu

    Pongezi

    Jibu

    Saf

    Jibu

    Mwisho wao umefika ngoja Simba achukue mwakani

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.