Reading walimaliza ukame baada ya mechi tano za Championship bila ushindi kwa kuifunga Bristol City bao3-1 kwenye dimbani Madejski.
Haikuwa rahisi kuchagua nani angeshinda kwenye kipindi cha kwanza. Reading walisonga mbele baada ya dakika tisa za kipindi cha pili Ovie Ejaria kumzidi ujanja Bentley.
City walisawazisha kupitia Nahki Wells dakika ya 73 lakini Reading walipata bao la kuongoza wakati Meite alipowazawadia nyumbani dakika tatu baadaye.
Lucas Joao alikuwa mfunga dimba kwa kumaliza shughuli ya kufunga mabao dakika za mwisho, kwa kupitia krosi ya Meite na kumdungua Bentley.

Reading wameanza walianza vyema kampeni walipofungua kwa ushindi wa mechi saba, na mbio za mechi 7 za kutofungika zilifika tamati ghafla kwa vipigo vinne mfululizo kabla ya kumaliza sare ya 1-1 huko Millwall Jumatano usiku.
City pia ilikuwa imeanza vizuri msimu wa 2020-21, wakipata ushindi mara nne mfululizo, lakini kutoshinda kwenye mechi tano mfululizo uliwafanya kushuka hadi nafasi ya 10.
Hadi 130,000,000 TSH Kutolewa kwa washiriki wa shindano la Playson Cashfall. Unaipata kwenye Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet Pekee. Jisajili sasa, kisha ingia mchezoni kabla ya Novemba 29.



Magdalena
Safi sana readings kwa kazi nzuri
Sauda
Inapendeza sana
Ester jackson
Good
Issa
Reading on fire
Hopemwaikuka
Cjaielewa vzur hii habar
Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri Sana pongez zao Reading kwaushindi wa point kwagemu hiyo
Fatina mfingi
Nice
Adelta
Inapendeza Sana
Tatu
Reading wanastahili pongezi
Janeflora malisa
Safi
Shakila mrope
Good
Shafii
Gud news
aisha
Pongezi sana kwake
Nasra
Pongezi sana kwake
Dorophina
Pongezi kwao reading
Mariam mtandama
Safi
Rahma
Safi
warda
Ukame wa magoli sio poa