Mpango wa Chelsea kurejesha mashabiki dimbani pale Stamford Bridge umekutana na upinzani kutoka kwa kundi la mashabiki ambao wanakosoa gharama za tiketi.
Mashabiki hao wametaja kuwa £75 kwa mechi dhidi ya Leeds ni utumiaji mbaya kabisa wa mapenzi ya mashabiki kwa timu yao.
Kutokana na kuendelezwa kwa mapambano dhidi ya Corona, Chelse wanatarajia kuanza kuruhusu mashabiki hadi 2000 mwezi ujao, kwa mujibu wa muongozo wa serikali.
Mashabiki wametoa tamko lao baada ya kupata taarifa juu ya mpango wa kurejesha mashabiki na gharama za tiketi kwa mechi ya tarehe 8 Disemba dhidi ya Leeds.
Msisitizo wa mashabiki wa Chelsea ni kuwa mapenzi yao kwa timu yanatumika vibaya. Msimamo wa walalamikaji hawa ni kuwa klabu imeamua kulipisha pesa kubwa zaidi ya klabu nyingine ya Premia kwa kipindi hiki kigumu cha hali mbaya ya uchumi.
Hadi 130,000,000 TSH Kutolewa kwa washiriki wa shindano la Playson Cashfall. Unaipata kwenye Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet Pekee. Jisajili sasa, kisha ingia mchezoni kabla ya Novemba 29.



Issa
Hii itafanya ikose mashabik
Hopemwaikuka
Tunajua mmepata hasara Ila punguzen hvyo viingilio hali ngumu sasa hv
Ester jackson
Ninafikiri wamefanya hivyo kutokana na kuzuia watu wengi kuingia uwanjana kwa wingi kwa sababu ya kukwepa mbanano Wa watu kwenye uwanja kuepusha maambukiri ya corona kwa wingi uwanjani pia kwasababu mashabiki wamelalamika kuhusu hilo taarifa itafika na watasuluisha kwa hio
Lydia Emmanuel Magoti
Panapo elekea Sasa patafanya mashabiki wasiwepo uwanjani kwakiingilio kupanda Ali ishakuwa tete sasa
Adelta
Tunakoelekea mashabiki wakosa kabisa kuingia
Fatina mfingi
Hii itafanya mashabiki wakimbie
Tatu
Kutokana na ugonjwa wa corona kulikumba mataifa mengi hali ya kiuchumi imeyumba hvyo basi kunawafanya vilabu vingi vya mpira kutafuta njia moja au nyingine kutatua hii changamoto huku wakisahau hata raiya wa kawaida kwa sasa pesa awana Chelsea watafute njia ya kuwafurahisha mashabiki wao sio kwakatamiza
Janeflora malisa
wapungz bei
Shakila mrope
Hapo watafukuza mashabiki
Sauda
Mashabiki wengi watakosa ticket
Shafii
Duh sio poa
aisha
Kama ndio hivyo cheksea itakosa mashabiki
Sadick
Uchumi wa Vilabu umeyumba baada ya kupata ridhaa ya kuruhusu mashabiki njia pekee kwa vilabu kujikwamua ni kuongeza gharama ya tiketi
Dorophina
Chelsea itapoteza mashabiki wengi
Magdalena
Wasiwapandishie sana maana hali ni ngumu
Rahma
Dar majanga
warda
Hii Ni Njia ya kupunguza watu wengi uwanjani