Mashabiki wa Chelsea Walalamikia Gharama za Tiketi!

Mpango wa Chelsea kurejesha mashabiki dimbani pale Stamford Bridge umekutana na upinzani kutoka kwa kundi la mashabiki ambao wanakosoa gharama za tiketi.

Mashabiki hao wametaja kuwa £75 kwa mechi dhidi ya Leeds ni utumiaji mbaya kabisa wa mapenzi ya mashabiki kwa timu yao.

Kutokana na kuendelezwa kwa mapambano dhidi ya Corona, Chelse wanatarajia kuanza kuruhusu mashabiki hadi 2000 mwezi ujao, kwa mujibu wa muongozo wa serikali.

Mashabiki wametoa tamko lao baada ya kupata taarifa juu ya mpango wa kurejesha mashabiki na gharama za tiketi kwa mechi ya tarehe 8 Disemba dhidi ya Leeds.

Msisitizo wa mashabiki wa Chelsea ni kuwa mapenzi yao kwa timu yanatumika vibaya. Msimamo wa walalamikaji hawa ni kuwa klabu imeamua kulipisha pesa kubwa zaidi ya klabu nyingine ya Premia kwa kipindi hiki kigumu cha hali mbaya ya uchumi.

 


 

 

USICHELEWE KUKAMATA MKWANJA HUU!

Hadi 130,000,000 TSH Kutolewa kwa washiriki wa shindano la Playson Cashfall. Unaipata kwenye Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet Pekee. Jisajili sasa, kisha ingia mchezoni kabla ya Novemba 29.

Meridianbet Tanzania Casino

SOMA ZAIDI

17 Komentara

    Hii itafanya ikose mashabik

    Jibu

    Tunajua mmepata hasara Ila punguzen hvyo viingilio hali ngumu sasa hv

    Jibu

    Ninafikiri wamefanya hivyo kutokana na kuzuia watu wengi kuingia uwanjana kwa wingi kwa sababu ya kukwepa mbanano Wa watu kwenye uwanja kuepusha maambukiri ya corona kwa wingi uwanjani pia kwasababu mashabiki wamelalamika kuhusu hilo taarifa itafika na watasuluisha kwa hio

    Jibu

    Panapo elekea Sasa patafanya mashabiki wasiwepo uwanjani kwakiingilio kupanda Ali ishakuwa tete sasa

    Jibu

    Tunakoelekea mashabiki wakosa kabisa kuingia

    Jibu

    Kutokana na ugonjwa wa corona kulikumba mataifa mengi hali ya kiuchumi imeyumba hvyo basi kunawafanya vilabu vingi vya mpira kutafuta njia moja au nyingine kutatua hii changamoto huku wakisahau hata raiya wa kawaida kwa sasa pesa awana Chelsea watafute njia ya kuwafurahisha mashabiki wao sio kwakatamiza

    Jibu

    wapungz bei

    Jibu

    Hapo watafukuza mashabiki

    Jibu

    Mashabiki wengi watakosa ticket

    Jibu

    Duh sio poa

    Jibu

    Kama ndio hivyo cheksea itakosa mashabiki

    Jibu

    Uchumi wa Vilabu umeyumba baada ya kupata ridhaa ya kuruhusu mashabiki njia pekee kwa vilabu kujikwamua ni kuongeza gharama ya tiketi

    Jibu

    Chelsea itapoteza mashabiki wengi

    Jibu

    Wasiwapandishie sana maana hali ni ngumu

    Jibu

    Dar majanga

    Jibu

    Hii Ni Njia ya kupunguza watu wengi uwanjani

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.