Roma: Mkurugenzi Mpya Apata Corona

Hali bado haijawa shwari linapokuja suala la janga la virusi vya corona, hasa wakati Ulimwengu ukiendelea kupambana na usambazaji wa chanjo. Mkurugenzi mkuu mpya wa Roma naye amepata maambukizi ya virusi vya Corona.

Taarifa zinataja kuwa mkurugenzi Mkurugenzi huyu wa Roma Tiago Pinto amefanyiwa vipimo na kupatikana kuwa na COVID-19 akiwa huko Ureno.

Pinto alikuwa kwa sasa bado yupo na klabu yake ya Benfica na anatarajiwa kuungana na Roma mapema mwezi Januari.

Mkurugenzi Mpya wa Roma Apata Corona
Tiago Pinto alikuwa anatarajiwa kuwepo Italia mwezi Januari

Taarifa ya klabu ya Benfica imethibitisha kuwa Tiago Pinto amepimwa na kukutwa na COVID-19 na tayari ameondoka kwenye kambi ya mazoezi ya timu kabla ya mechi yao dhidi ya Supercup ya Ureno.

Suala hili ni taarifa mbaya kwa Roma, kwa kuwa linaenda kuathiri kuwasili kwake Italia. Alikuwa anatarajiwa kutia mguu wake Italia Januari 1, kwa taarifa hii kuna uwezekano akatakiwa kusubiri zaidi kabla hajaamua kusafiri kwenda Italia.


 

VUNA SHEA YAKO YA 230,000,000TSH NA UFURAHIE MSIMU HUU WA SIKUKUU!!!

Kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, jiwekee nafasi ya kupata shea yako ya 230,000,000Tsh kupitia mchezo wa Secret Santa. Hakika hutojutia kufurahia msimu huu wa sikukuu ukiwa katika nyumba ya mabingwa ya Meridiabet. Unasubiri nini???

SOMA ZAIDI

 

10 Komentara

    Meridianbet muko vizur

    Jibu

    Corona sio poa

    Jibu

    Pole yake

    Jibu

    Pole yake

    Jibu

    Corona noma sana

    Jibu

    Corona atali sana

    Jibu

    Dah

    Jibu

    Pole yake

    Jibu

    Duu sio poa Corona itawaumiza watu

    Jibu

    Hii Corona sio poa

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.