Pengine 2021 ukawa ni mwaka wa kihistoria kwenye ulimwengu wa soka, hii ni kutokana na idadi ya wachezaji huru kuwa ni kubwa sambamba na ukubwa wa majina yao.
Baadhi ya wachezaji wenye majina makubwa wanamaliza mikataba yao mwezi Juni 2021, hii inaamana kuwa wanaweza kuondoka kama wachezaji huru mwishoni mwa msimu huu au kusajiliwa na vilabu vingine kwa mikataba ya awali.
Usajili wa dirisha dogo kufunguliwa rasmi Januari 2, nani atakuwa wa kwanza kuondoka na kijiji kuhamia timu nyingine? au tutasaini mikataba mipya na kuendelea kuvitumikia vilabu tulivyopo?
Baadhi ya wachezaji wanaomaliza mikataba yao mwaka huu ni pamoja na Lionel Messi, Angel Di Maria, Mephis Depay, Sergio Aguero, Sergio Ramos, Gianluigi Donnarumma, Mesut Ozil, Julian Draxler, Jerome Boateng, David Alaba, Luka Modric, Olivier Giroud, Georginio Wijnaldum, Fernandinho, Romain Saiss na wengine wengi.
Unadhani nani anatimka na nani ataongeza kandarasi kwenye klabu aliyopo???
VUNA SHEA YAKO YA 230,000,000TSH NA UFURAHIE MSIMU HUU WA SIKUKUU!!!
Kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, jiwekee nafasi ya kupata shea yako ya 230,000,000Tsh kupitia mchezo wa Secret Santa. Hakika hutojutia kufurahia msimu huu wa sikukuu ukiwa katika nyumba ya mabingwa ya Meridiabet. Unasubiri nini?



Magdalena
Ngoja tuone itakavyokuwa
Rahmal
Tunasubilia tuone
Gabriel
Imekaa poa sana
Adelta
Iko poa kabisaa
felister
tunasubiria tuone
warda
Dirisha dogo itakuwa hatari
Sania
Tusubiri mpaka mwisho tutaona matokea
Angelina
Niceupdate
Dorophina
Tunasubilia usajili tuone itakavyokuwa
Lydia Emmanuel Magoti
Dirisha dogo litakuwa atari
Issa
Ni msimu wa timu kusajili huu
Rehema
Iko poa
Sarah
Itakuwa poa tunasubiri tuone
Saupha mohamed
Good
Mwanahamisi
Tunasubili tuone