Wewe ulijipa zawadi ya Krismasi? Basi nyota wa AC Milan Zlatan Ibrahimovic aliamua kujipa zawadi krismasi, amejinunulia msitu huko Sweden kama zawadi.
Kwa mujibu wa La Gazzetta dello Sport, nyota huyu aliamua kutumia €3m kununua sehemu ya msitu wa hekta 1000 kama zawadi kwake kipindi cha krismasi.
Msitu alionunua unapatikana kwenye milima, ambayo inapatikana mpakani mwa Sweden na Norway na karibu na Åre. Kwa mujibu wa ripoti ni kuwa nyota huyu anaruhusiwa kufanya michezo ya baiskeli kwenye narafu, kuwinda na pia kufanya shughuli za uvuvi.

Ibrahimovic amekuwa nje ya dimba kwa wiki kadhaa akiuguza jeraha lake hivyo anatarajiwa kuzikosa mechi za Milan dhidi ya Benevento na Juventus za mwezi Januari. Huenda akawa sawa kwenye mechi ya AC Milan dhidi ya Cagliari, baada ya Milan kusema kuwa hawana mpango wa kumuwahisha kurejea dimbani.

VUNA SHEA YAKO YA 230,000,000TSH NA UFURAHIE MSIMU HUU WA SIKUKUU!!!
Kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, jiwekee nafasi ya kupata shea yako ya 230,000,000Tsh kupitia mchezo wa Secret Santa. Hakika hutojutia kufurahia msimu huu wa sikukuu ukiwa katika nyumba ya mabingwa ya Meridiabet. Unasubiri nini?



Lydia Emmanuel Magoti
Safiii Sana kafanya kitu kizuri kujipongeza kujipa zawadi
Adelta
Ni vizuri kununua na kuweka kumbukumbu ktk maisha yake
felister
Bora ata alivyojiamulia ivyo
Magdalena
Imekaa poa
warda
Ndo raha ya pesa
Janeflora malisa
Safi
Sarah
Iko poa sana
Angelina
Safi
Sania
Anatumia pesa yake
Rahmal
Safi
Hopemwaikuka
Pesa inaongea
Dorophina
Amefanya jambo zuri
Issa
Zlatan ni mtu anajipa raha
Gabriel
Big 🐟 zawad nzur sana
Rehema
Safi
Saupha mohamed
Nice