Baada ya kuwaburuza Liverpool jana (Jumatatu) usiku, timu ya Southampton imeweka rekodi kwenye historia ya EPL.
Southampton imekuwa timu ya kwanza kuwafunga mabingwa wote 7 kwenye misimu inayofuata baada ya kubeba taji la EPL.
Manchester United, Manchester City, Arsenal, Chelsea, Leicester City, Blackburn Rovers na sasa Liverpool wameambulia vipigo kutoka kwa Soton kwenye misimu iliyofuata baada ya kutwaa ubingwa.

Liverpool walijikuta wakiangukia pua kunako dakika ya 2 ya mchezo huo, Danny Ings aliitumia vyema nafasi aliyoipata na kumuadhibu Alisson Becker.
Hiki ni kipigo cha pili kwa Liverpool msimu huu na kimewafungulia mwaka 2021 vibaya, mchezo unaofuata watawakaribisha Man United katika dimba la Anfield.
Ndio, kwetu Mteja ni mfalme. Jiunge sasa na familia ya Meridianbet bila malipo yeyote na sisi tutakuzawadia bonasi ya shilingi 3,500 kama sehemu ya kukukaribisha kwenye familia hii BURE!!!. Unasubiri nini??



Magdalena
Spurs wanakuja kwa kasi
Sania
Mambo ni fireee
Shakila mrope
🔥🔥🔥🔥
Angelina
Goodnews
Hopemwaikuka
Hongera zenu
Chiku
Wana hitaji pongezi
Rahmal
Pongezi kwao
Dorophina
Pongezi kwao
Janeflora malisa
Safi
Caroline
Hongera sana Southampton
Mwanahamisi
Pongezi kwao
Sarah
Hongera kwao
Adelta
Sauthampton wako vizuri
Ernest Kimeru
Ings jana alionyesha ubora wake kwa goli tamu kabisa la kideo
Lydia Emmanuel Magoti
Pongezi kwao
Issa
Walikiwasha
Latifa juma mohamed
Hongera Sana.
Khadija
Hongera sana
Saupha mohamed
Hongera sana
felister
safi
warda
safi sana
Sabrina
Hongera sana
Sabrina
Inapendeza