Mlinzi wa zamani wa Serie A Daniele Adani anasema Josep Maria Bartomeu anapaswa kufukuzwa Uhispania: “Hawezi kusamehewa.”
Rais huyo wa zamani wa Barcelona amekamatwa kwa tuhuma za matumizi mabaya ya ofisi, ufisadi kati dhidi ya watu binafsi na utapeli wa pesa, kwa mujibu ripoti.
Seke Seke hili limemuibua beki wa zamani wa Fiorentina na Inter Lele Adani, ambaye anasisitiza Bartomeu kwa jinsi alivyosimamia Barcelona na haswa jinsi alivyowafanyia Leo Messi na Gerard Piqué.

“Katika maisha, unaweza kulipa gharama kubwa ikiwa utafanya mambo fulani. Katika katika soka, Barcelona wamepata majanga kweli katika miaka 4-5 iliyopita,”
“Barcelona iliendelea kununua wachezaji, ikikuza deni na kudhalilisha wachezaji kama Messi na Piqué. Unapanda upepo, unavuna kimbunga,”
“Haki inachukua mkondo wake, kwa bahati nzuri, ni mapema kidogo ya Italia.”
Adani amesisitiza kuwa, ikiwa ni kweli kwamba Bartomeu alitumia mitandao ya kijamii kuwashusha thamani Messi na Pique anapaswa kufukuzwa kabisa Hispania si kusamehewa.
BusttheBank ni sloti inayokupa Mkwanja wa kutosha. Ndio, hii ni sloti inayokupa faida ya hadi mara kibao ya dau lako. Ni Meridianbettz pekee utakapoweza kupata burudani hii.



Venerose
Safi sana ili iwe fundisho kwa wengine
Rahma
Asante kwa taalifa meridian bet
Neema juma
Kayataka mwenyewe kwahy asepeshwee tu kiroho safii
Sarah
Itakuwa funzo kwawengine
Angelina
Nice update
Caroline
Mhh kwann
Issa
Bartomeu ameifikisha sana barca
Hopemwaikuka
Nmependa
warda
Kumbe kila sehemu kuna ufisadi duuu nilijua bongo tu
Lydia Emmanuel Magoti
Duuh sio poa
David Pere
Adani amesisitiza kuwa, ikiwa ni kweli kwamba Bartomeu alitumia mitandao ya kijamii kuwashusha thamani Messi na Pique anapaswa kufukuzwa kabisa Hispania si kusamehewa.