Kaze Aukubali Mziki wa Coastal Union

Kocha Mkuu wa Yanga, Cedric Kaze amefunguka kuwa anaipongeza Coastal kwa ushindi walioupata dhidi ya klabu yake siku ya leo, huku pia akiwapongeza nyota wake kwa kupambana.

Yanga leo katika dimba la Mkwakwani jijini Tanga imepoteza kwa mara ya kwanza kwenye Ligi Kuu Bara msimu huu baada ya kukubali kipigo cha mabao 2-1.

Akizungumzia mchezo huo Kaze amesema: “Tulikuwa na mchezo mzuri dhidi ya wapinzani wetu na kufanikiwa kupata penalti mwanzoni, lakini kwa bahati mbaya tulikosa.

“Lakini nawapongeza vijana wangu kwa kupambana, pamoja na wapinzani wetu kwa ushindi walioupata,”


Ni Muda wa Kuvuna Mkwanja na Jungle Jim and the Lost Sphinx

Hauihitaji kufikira mara mbili ni mchezo gani utakupatia mkwanja ndani ya kasino za Meridianbet. Jiunge sasa ufurahie Jungle Jim and the Lost Sphinx.

  CHEZA HAPA

9 Komentara

    Maneno chanya kutoka kwa Kocha aliyefunzwa na kufunzika

    Jibu

    Pole yao

    Jibu

    Hongereni sana Yanga

    Jibu

    Wanamtimua sasa hv

    Jibu

    Saw

    Jibu

    Sawaa

    Jibu

    Pole yao

    Jibu

    Pole yao safari hii kaze kazi anayo

    Jibu

    Atakubali mziki wa timu zote Tanzania

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.