Nipo Tayari Kusaini Yanga - Kessy

Beki tegemezi wa pembeni ndani ya kikosi cha Mtibwa Sugar, Hassan Kessy amesema kuwa yupo tayari kusaini kwenye timu yoyote ambayo itahitaji saini yake hata wakiwa ni mabosi wake wa zamani, Yanga.

Kessy
Kessy akiwa Yanga

“Mimi ni mchezaji na nipo tayari kucheza popote kikubwa ni maslahi pamoja na makubaliano hivyo hata ikiwa ni Yanga sina tatizo nao mimi nitacheza.

“Kwa sasa nipo hapa Mtibwa Sugar na tunazidi kupambana ili kupata matokeo chanya kwani kila mechi inakuja tofauti na tunaamini kwamba tutapata matokeo kwenye mechi zetu zijazo,” amesema Kessy.

Nyota huyo alikuwa anatajwa kujiunga na Yanga kabla ya kuibukia Mtibwa Sugar akitokea Zambia ila mambo yalibadilika akaibuka Mtibwa Sugar.


JILIPE KWA NAMBA ZAKO ZA BAHATI NA KENO

Kila mtu ana namba zake za bahati, Meridianbet tunatambua namba zinaweza kukufanya milionea leo. Jilipe kwa namba zako za bahati kila baada ya dakika tano.

CHEZA HAPA

4 Komentara

    Popote kambi kikubwa maslai tu

    Jibu

    Safi sana kwa maamuzi yake

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

    Hata wamchukue nani kipigo kipo pale pale

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.