Mabadiliko : Yanga, Azam Kupigwa Saa 2:15 Usiku.


 

Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imefanya mabadiliko ya muda wa mchezo wa Ligi Kuu baina ya Yanga SC na Azam FC, Aprili 25 kwa kusogeza mbele muda wa mechi kuanza saa 2:15 kutoka muda uliokuwa umepangwa mwanzoni wa saa 1:00 usiku.

Taarifa iliyotolewa na TPLB leo imeeleza kuwa mabadiliko hayo ya muda wa kuanza kwa mechi yamefanyika kutokana na Uwanja wa Benjamin Mkapa ambao utatumika kwa mechi hiyo kuwa na matumizi mengine.

Kuelekea mchezo huo Yanga SC anaongoza ligi kwa alama 57 huku Azam FC katika nafasi ya 3 akiwa na alama 51, timu zote zimeshinda michezo miwili na kupata sare moja katika michezo yao mitatu ya hivi karibuni.


MKWANJA MARIDHAWA NA KASINO YA 777 MEGA DELUXE

Nafasi nyingine kwaajili yako, kasino mpya yenye hadhi ya kipekee inayokupa kila sababu ya kuwa mshindi katika kasino za Meridianbet, anza siku yako na njia rahisi ya kutengeneza mkwanja.

CHEZA HAPA

8 Komentara

    Lazima kieleweke

    Jibu

    Hapo kazi ipo

    Jibu

    Kaz ipo

    Jibu

    Hatari

    Jibu

    Mtanange matata

    Jibu

    Nomaa

    Jibu

    Kazin ipo hapo

    Jibu

    ILIKUWA POA

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.