Kiungo wa Chelsea, Jorginho amekuwa akihusishwa na uhamisho wa kuelekea Roma ikiwa Maurizio Sarri atachukua kibarua klabuni hapo. Lakini, kwa mujibu wa wakala wake, staa huyu atasalia London.
Kiungo huyu alicheza dakika zote 90, kwenye mechi dhidi ya Real Madrid kwenye Ligi ya Mabingwa, wakala wake Jorge Santos amewaambia mshabiki kuwa ‘wakae kwa kutulia’ staa wao ataendelea kuwepo Stamford Bridge.

Roma wanahusishwa na meneja wa Zamani wa Napoli na Chelsea, Maurizio Sarri, na tetesi zikatanuka zaidi kwenye vyombo vya habari vya Italia kumuhusisha Jorginho na Roma pia.
Wakala amenukuliwa akiseama;
“ Jorginho atasalia Chelsea, bado ana mkataba wa miaka miwili na klabu hii ya Uingereza na kwa sasa anajali suala la kumalizia msimu na timu yake kwa namna nzuri kadri iwezekanavyo.” – Jorge Santos
Nyota huyu wa Brazil anahamishia umakini wake kwenye michuano ya Ulaya (European Championship) baada ya kumalizana na dili lake la sasa na Chelsea, pia anaweza kurejea Serie A, ambayo ni moja ya kitu anachokipenda.
KWANI MERIDIANBET WANASEMAJE! MKWANJA UPO KWENYE KASINO MPYA YA MINI POWER ROULETTE.
Unawezaje kukosa ubingwa ndani ya kasino hii maridhawa, Nafasi ya kushinda mkwanja ni kwa kila mtu, Meridianbet inakupa nafasi ya kuwa mmoja ya washidi leo, unasubiri nini?



Venerose
Good
Johnmary jo
Hayo ni maamuzi yake kuama au kutohama#meridianbett
aisha
Safi sana
Issa
Joginho ni moto
Magdalena
Safi Sana kwa Wana Chelsea
Sarah
Vizuri
Caroline
Asante kwa taarifa
dorophina
Nice update
sauda
Yupo vizuri
Sania mapua
Habari njema
Lydia Emmanuel Magoti
Safiii sana