Hansi Flick Kuwa Kocha wa Ujerumani Baada ya Euro 2020

Hansi Fick atamrithi Joachim Low kama kocha wa Ujerumani baada ya Mashindano ya Ulaya ya msimu wa joto kumalizika.

Baada ya kumalizana na Bayern Munich mwishoni mwa msimu wa Bundesliga, Flick alikuwa anatarajiwa kuchukua nafasi na timu ya taifa ya Ujerumani.

Uteuzi wake ulithibitishwa Jumanne asubuhi, na atajiunga na kandarasi ya miaka mitatu ambayo itaendelea hadi 2024, baada ya Mashindano ya Ulaya yaliyoandaliwa nchini Ujerumani.Hansi Flick

Flick atapata euro milioni 6.5 kila mwaka na Ujerumani, chini ya ile aliyokuwa akilipwa Bayern.

Hansi Flick bayern

Rais wa Barcelona Joan Laporta alikuwa akivutiwa na Flick hadi kuteuliwa kwake na Ujerumani kuwa rasmi. Flick, hata hivyo, alikuwa tayari amefikia makubaliano na Chama cha Soka cha Ujerumani.


BONASI YA 50% KILA SIKU KATIKA KASINO ZA EVOPLAY HAPA MERIDIANBET.

Meridianbet na Evoplay Kasino wanakupa bonasi ya 50% ya kiasi utakachoweka katika akaunti yako leo. Unasubiri nini ni wakati wa kupiga pesa sasa na Mabingwa.

tuchel, Tuchel :Tuna Bahati Tottenham Wametusaidia Kazi., Meridianbet

SOMA ZAIDI

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.