Leeds United Kujipima Nguvu Kibabe

Timu ya Leeds United imethibitisha timu mbili kubwa itakazocheza nazo kuelekea maandalizi ya msimu ujao wa 2021/2022.

Leeds watacheza mchezo wao kwanza wa kirafiki dhidi ya Real Betis kutoka La Liga tarehe 31 mwezi katika uwanja wa chuo kikuu cha Loughborough nchini Ungereza na tiketi za mechi hiyo zishawekwa mtandaoni.

Baada ya hapo, Leeds United watalazimika kusafiri kwenda mpaka Amsterdam kwa ajili ya kucheza na mabingwa wa ligi ya Uholanzi FC Ajax mnamo tarehe 4 mwezi wa nane mwaka huu, lakini mechi hii haitakuwa na mashabiki kwa sababu ya Covid 19.

Mpaka sasa Leeds wamethibitisha kuwa na michezo mitano ya maandalizi ya msimu ujao, timu nyingine walizokubaliana nazo ni Guiseley AFC, Blackburn Rovers na Fleetwood Town ambazo zote zitachezwa mwezi julai.

Leeds United wanategemewa kuanza kutimua vumbi msimu wa 2021/2022 dhidi ya mashetani wekundu, Manchester United, tarehe 14 mwezi huu.


JIUNGE NA FAMILIA YA MABINGWA!

Ndio, kama bado hujajiunga na Familia ya Mabingwa ya Meridianbet, huu ndio wakati wako! Tunakupatia Bonasi ya 3,500 Tsh papo hapo kama sehemu ya ukaribisho!

Italia, Italia Bingwa Euro 2020., Meridianbet

JIUNGE SASA!

2 Komentara

    Leeds chama kubwa, Msimu wa 2021/2022 lazima wapindue Meza

    Jibu

    Leeds wapo poa

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.