"Koeman Awatumie Riqui Puig, Samuel Umtiti"

Meneja Ronald Koeman anaonekana kutokuwa na mipango mikubwa na Riqui Puig na Samuel Umtiti.

Raisi wa Barcelona, Joan Laporta, anatamani wachezaji hawa watumike zaidi kwenye kikosi cha Barcelona katika mwanzo wa kampeni ya ligi pale La Liga. 

Ronald Koeman
Koeman huenda ana mipango tofauti na Umtiti na Riqui 

Nyota hawa wawili hawakupokea ofa ambazo zilikubaliwa na maobosi wa Barcelona wakati wa msimu wa uhamisho, kuwepo kwaop Barcelona kulitarajiwa kuwa chachu ya mabadiliko klabuni hapo.

"Koeman Awatumie Riqui Puig, Samuel Umtiti"
Puig na Umtiti hawajapata mda wa kucheza katika maandalizi ya msimu

Hata hivyo, Puig na Umtiti, wote hawakupata mda wa kucheza mwezi Agosti wakati wa maandalizi ya msimu mpya, ikiwa ni ishara kuwa Meneja Koeman huenda hana mipango mikubwa na wachezaji hawa kwenye kikosi chake cha kwanza.

Lakini taarifa zinasema kuwa Raisi, Laporta ana imani kubwa na wachezaji hawa ikiwa watatumiwa vizuri.

Kwa mujibu wa The Marca, Laporta anataka meneja Koeman awatumie vizuri Puig na Samuel Umtiti kwa kipindi chote cha msimu kilichosalia.


 

USHINDI KIGANJANI KWAKO!

Meridianbet inakuletea ushindi kwenye kiganjani kwako, unafurahia radha halisi ya burudani ya kasino mtandaoni na tabasamu la ushindi.

Meridianbet Online Casino

INGIA MCHEZONI HAPA

 

 

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.