Mmh! England Imemfunga San Marino 10 : 0 Nyumani Kwao

San Marino ikiwa ni nchi ndogo juu ya milima ikiwa kati kati ya nchi ya Italia kwa kusini na kaskazini, Jana imekumbana na balaa zito baada ya kuchabangwa magoli kumi kwa nunge na timu ya taifa ya Uingereza (Engalnd ).

England ikiwa na mafundi wake wote kwa maana ya Top Class player ilifanya majabu hayo San Marino akiwa nyumbani na wengi wakiwa ni wachezaji wa ligi ya pale pale uingereza.

San Marino
San Marino

Wafungaji wa goli 10 alizofungwa San Marino ni Harry Kane wa Tottenham Spurs magoli 4, Emille Smith Rowe wa Arsenal goli 1, Bukayo Saka wa Aresenal goli 1 , Tyrone Mings wa Aston Villa goli 1, Tommy Abraham wa Porto ya Italy nae alifunga goli moja huku goli moja wapo kati ya kumi likiwa ni la kujifunga.


WIKI NJEMA NA CRAZY TIME CASINO!

Unasababu milioni za kucheza unavyotaka ukiwa na mabingwa meridianbet, lakini unasababu moja ya kushinda mamilioni katika kasino za mtandaoni za meridianbet. Mchezo maridhawa wa Crazy Time unakupa sababu hizo kuwa mmoja wa washindi leo hii.

 

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

CHEZA HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.