Lozano Ang'oka Jino Baada ya Kugongana na Ndidi

Mchezaji wa Napoli Hirving Lozano alilazimika kutolewa uwanjani kwa machela ndani ya kipindi cha kwanza baada ya kugongana vibaya na Wilfred Ndidi wa Leicester City wakati wa mchezo wa Europa League.

Lozano Ang'oka Jino Baada ya Kugongana na Ndidi

Lozano alikuwa akikimbia na mpira na kujigonga kwenye mguu wa wa Ndidi na kichwa chake kujipigiza kwenye goti la Ndidi tukio lililopelekea kung’oa jino lake. Tukio kama hilo, kwa bahati mbaya, ni sawa na jeraha alilopata kwenye Gold Cup akiwa na Mexico.

Mwamuzi haraka aliwaita madaktari machela hadi uwanjani na kutolewa nje ya uwanja.

Wakati wa mapumziko kwenye mechi ya Europa League, Napoli na Leicester zilikuwa sawa kwa mabao 2-2, huku timu hiyo ya Premier League ikitoka nyuma kwa mabao mawili. Lakini dakika ya 57 Eljif Elmas aliifungia Napoli bao la tatu na la ushindi.


AGENT JANE BLONDE AMEREJEA MSIMU WA SIKUKUU.

Unaweza kujishindia mamilioni katika kasino yako pendwa ya meridianbettz, mchezo wa Agent Jane Blonde Return ni moja ya michezo inayopendwa kwasasa huku ikiwafanya wachezaji kuwa mamilionea kila siku. Unasubiri nini! ungana na Agent Jane Blonde akufanye milionea.

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

CHEZA HAPA

 

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.