Redknapp : Lukaku Awewarudisha Chelsea kwenye Mbio za Ubingwa.

 

Mchambuzi wa Soka, Jamie Redknapp amesema mshambuliaji wa Chelsea, Romelu Lukaku amewarejesha kwenye mbio za ubingwa baada ya kiwango alichoonyesha katika mchezo dhidi ya Aston Villa.

 

Lukaku hajacheza katika mechi kumi na moja (11) kwenye ligi kuu ya EPL kutokana na majeraha wakati goli lake la mwisho kufunga likiwa ni mwezi septemba.

“Uwezo wa Lukaku akiwa mwenyewe kwenye ushambuliaji umewafanya warejee kwenye mbio za ubingwa.” alisema Redknapp

“Walikuwa wanahitaji kitu cha kuwapa motisha na hicho ndicho alicholeta kwenye timu. Kipindi cha kwanza hawakuweza kwenda mahala popote kwa haraka, meneja alikuna kichwa kujua nini cha kufanya.

“Kitu pekee ilikuwa nikumuweka uwanjani, kwasababu walipata shida Christian Pulisic kama namba tisa ya uongo.

“Lakini kama Chelsea watatwaa ubingwa mbele ya City na Liverpool, Lukaku anachukua nafasi kubwa.” aliongeza.


KUWA MILIONEA MSIMU WA SIKUKUU NA SAHARA RICHIES

Unaanzaje siku yako katika msimu huu wa sikukuu, mchongo upo meridianbet kasino. Sloti pendwa ya Sahara Richies inaweza kukufanya ukawa milionea katika kufunga mwaka huu, Jiunge na ufurahie kasino maridhawa kutoka nyumba ya mabingwa.

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

CHEZA HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.